Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaRIP japo tangu utotoni nilikuwa sizipendi nyimbo zake, yani mdingi akiweka CD ya nyimbo zake nilikuwa nalaani kimoyomoyo
hahahahNilitaka kukuomba cheti, sema hamkawii kutoa kitu cha kuhatarisha amani... Ngoja nile bati tu
Alikuwa anaumwa auAmetuacha lakini kazi zake bado ni Mali kwa matanzania
Asha Mwana SeifTangu jana nipo hewani na Rajabu Zomboko radio One tukimuenzi TX Moshi William, na leo tunaendelea tena usiku kumkumbuka kupitia radio one.
Baadhi ya nyimbo zake nipamoja na:
1. Amida
2. Kilio cha mtu mzima.
3. Cheusi Magala.
4. Queen Cathe.
5.
6.
7.
BIG NO ====>>>> MSAFIRI KAKIRI
Naipenda ile nyimbo..BIG NO ====>>>> MSAFIRI KAKIRI
Nafikiri alilipata jina hili kutokana na umahiri wake ktk kuimba na kutunga nyimbo.Pia miaka Ile ya 80's to 90's hili neno Tx lilivuma sana likimaanisha watu ma ex part{wataalam kutoka nje ya Tanzania}Na magari waliyotumia plate no zilianza na maandishi ya Tx na magari yaliyotolewa misaada na mashirika ya nje na ya miradi ya msaada kama vile Danida na mengineyo ya njeR. I. P TX moshi William
Hawa walikuwa !st eleven ya Msondo, na wote wameshatangulia mbele za haki, hapa Tx,hapa Mbwebwe mzee masharubu,pembeni Momba, kwa mbali mzee wa kuchechemea,huku Maina akichagizwa na gwiji Gurumo. Mungu awape pumziko la milele sote tupo kwenye foleni ya umautiView attachment 488271
Leo ni Kumbukumbu ya kifo cha Tx Moshi William wa msondo ngoma Machi 29, 2017.
Marehamu Moshi William alifariki tarehe 29 Machi mwaka 2006 siku ya jumatano majira ya saa 3 asubuhi na kuzikwa siku hiyo hiyo katika makaburi ya Keko Machungwa.
Tarehe na siku ya kifo chake vimejirudia mwaka huu. Alitunga nyimbo nyingi lakini baadhi ya nyimbo zilizotia fora sana ni kilio cha mtu mzima, ndoa ndoana, kaza moyo na ajali.
Tx Moshi William ameacha pengo na kumbukumbu isiyosahaulika kwa wapenzi wa msondo na muziki wa dansi kwa ujumla hapa Tanzania na Duniani kwa ujumla.
Ndio miaka mingi hawa waliongozana kwa mpigo,Momba,TX, Mbwebwe ila Mzee Gurumo alikaa kidogo nae ndio ikawa kwa heri nadhani yeye ndie alikamilisha listi baada ya Maina nae kufariki akiwa ndani ya daladala.Ivi huyu Momba nae alikufaga,,,nawependaga sana msondo
Mwanae aliitwa Hasan nilisoma nae shule ya msingi Mgulani, muda huo wao wanaishi keko kwenye Kota za polisi kama sikoseiHuyu mzee Alikua mtu wa aina gani in private life ? Namuona kama alikua bishoo sana
So TX alikuwa askari polisi ?Mwanae aliitwa Hasan nilisoma nae shule ya msingi Mgulani, muda huo wao wanaishi keko kwenye Kota za polisi kama sikosei
HapanaSo TX alikuwa askari polisi ?