Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Ingia you tube mzee na click "the best of Ronaldinho". We andaa GB zako za kutosha maana hautabanduka! Kitakachokuondoa ni GB zako kuisha!
Kumbuka falsafa ya Dinho ni "Mpira ni burudani, na kuburudisha mashabiki ndio kipau mbele"
Kwa hiyo kama unataka rekodi ya magoli mangapi alifunga, hiyo siyo fslsafa yake! Magoli huleta furaha ya ushindi lakini si burudani! Goli linaweza kufungwa hata kwa mkono, au la kujifunga nk!
Happy born day to Ronaldo De Assis Morreira " Ronaldinho "
Happy Birthday Ronaldinho Gaucho
Zile burudani zake mbona hata Jay Jay Okocha alikuwa anazipiga mara nyingi tu?Dinho the master of entertainment!
Falsafa ya Dinho ni kuwa mpira ni burudani, na mashabiki wanahitaji burudani! Burudani siyo goli peke yake! Maana katika dk 90 goli linakuwa moja au mawili sasa dakika nyingine watu watafurahia nini?
Ingia you tube ukutane na clips za Dinho akimwaga burudani ya kufa MTU!
Hajawahi tokea "ball controller" chini ya jua kama Dinho!
Ukizungumzia wapachika mabao hapo Rinaldo, Messi nk wanaingia kwenye orodha, lakini kwa habari ya kuutawala mpira na kuuchezea utakavyo na kumwaga burudani ya kufa MTU kwa mashabiki, Dinho hana mpinzani!
Basi utakuwa umeziangalia clip zake kwa kutumia MIWANI ya makengeza![/QUOTE
Ha ha haa huwa mnanifurahisha mno mnapo mlinganisha gaucho na hawa jamaa (DIEGO AMANDO & LEO 1Os huwa siwaelewi naona kama vile mmepotea! Sasa sitaki ubishi wa kitoto hapa lete sasaiv records zake na fifa statistics zinaonyesha vipi? Hapo ndio nitakuona wewe ni kidume kweli....na kama itaonyesha gaucho yupo juu zaidi ya AMANDO na MESSI na ZIDANE naomba mods waniblock sasahivi...Najua hakuna....tatizo watanzania tunapenda kusifia without facts,
Zile burudani zake mbona hata Jay Jay Okocha alikuwa anazipiga mara nyingi tu?
Zile burudani zake mbona hata Jay Jay Okocha alikuwa anazipiga mara nyingi tu?
Mkuu utaumiza kichwa bure kubishana na type za namna hii...wakati gaucho hayumo hata top 20 lkn bado wabishi tu wabishi tu,
Kama unazungumzia MAUNO na KUCHEKA CHEKA KA DEMU uwanjani ntakubaliana na wewe
1...DIEGO MARADONA hakuna asiemjuwa
2...LEO ANDRES MESSI hata mtoto mdogo anamfahamu vizuri sana huyu kiumbe ni wa pekee ktk wachezaji
3...HAKUNA
4...ZIDANE, ALFREDO DE STEFANO,PELE,REDONDO,BECKENBAUER nk...
Hahaha watu wanamleta messi duu messi kwa dinho si anaingia mara mia wallah
27/06 alaf hv uchezaj bora wa dunia dinho kachukua mara ngapi vile??halafu hao wanaokaleta hako kanesi kao hata b'day yake hawaijui.
27/06 alaf hv uchezaj bora wa dunia dinho kachukua mara ngapi vile??
Nimefuatilia uzi kuanzia mwanzo nimegundua wanaomsifia messi ni kizazi kipya kwa bahati mbaya sana hawakufanikiwa kumwona dinyo enzi zake mimi ni mshabiki wa chelsea lakini kila nikikumbuka lile goli lake la mwili napata shaka huyu hakuwa binaadam wa kawaida na kwa kuwasaidia tu hao watoto wa juzi ni kwamba huyo messi mpaka peter cech anaondoka chelsea alikua hajawahi mfunga so messi ni mchezaji wa kawaida sana na akijaribu kuhama ligi ndio atapotea kabisa
Gaucho anamshinda pirlo?