Leo ni leo ndani ya Kampala; pale Zari kule Hamisa Mobetto

Status
Not open for further replies.
Apambane na hali yake bila kumhusisha zari. Naona humu hawawez mtaja zari bila tununu mweeee
Watu wanatokwa na mapovu kisa tu hamisa na zari[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila jamani mwacheni bi tununu apambane na hali yake kha!mlivyomkalia kooni bi dada wa watu sasa
 
Muda upi huo???? Baby abdul hajasaidia hata kupata ka ubalozi ka nmb maweeeeeee watu na ndoto zao
Kwani lazima,nyie ndio mwawashindanisha mpaka akifanya kitu kidogo tu hamisa povu linawatoka
 
Nani anavutia dai,huyu huyuuu aliyeitwa chai jaba mara domo!!!??kama ivan hakua anavutia wema alijepeleka kufanya nn na hata ka chchunge kalikua kanajigongesha kwa boss mwenye hela zake. Maneno ya mkosaji bana
Dai ana sex body,bado mdogo,kulinganisha ivan na dai ,dai yupo mwake,
 
nani alianza kuwa na iyo evevnt na mwenzie akaiga mpaka tarehe moja kwa mwenzie
 
Kila mmoja yupo mjini kimpango wake Zari yupo mjini kwa hizo deals likewise to mobeto. Kama ni kushindana Mo angemwachia bakhresa atengeneze juice yeye afanye mengine. Go mobetto changamkia fursa usife njaa. Zari na wewe tumia fursa uendelee kupeta.
 
Kila mmoja yupo mjini kimpango wake Zari yupo mjini kwa hizo deals likewise to mobeto. Kama ni kushindana Mo angemwachia bakhresa atengeneze juice yeye afanye mengine. Go mobetto changamkia fursa usife njaa. Zari na wewe tumia fursa uendelee kupeta.
Haya ndio maneno sasa we ndio umemaliza
Sio kuponda kuigwa aigwe ye nani,kipi kaanzisha kipya chini ya jua hapa
 
Haya ndio maneno sasa we ndio umemaliza
Sio kuponda kuigwa aigwe ye nani,kipi kaanzisha kipya chini ya jua hapa
Hizo ni fikra zao kwani kuiga ni dhambi wangapi wanaigana mjini na tonge linakwenda tunaishi kwa kuiga yanayotuzunguka. Hamisa anatakiwa apate mtu ampige msasa achangmkie fursa huu ndiyo muda wa kuzipiga. wote ni wanawake wanaotumia wanaotumia uzuri wao kuwepo mjini mmoja alitangulia tu.
 
Yani huyu mtoto alivyo mrembo hivi akinipa sikatai, aaah na zama mpaka....

Kwa ufupi Mrembo Hamisa anamnyima Zari usingizi..........Na sasa atakuwa kachanganyikiwa kabisa kwani Ticket za kwenye Party ya Hamisa zimeshauzwa zote "Sold Off"
Make up
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…