GTA
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 878
- 651
Nadhani na uzuri unachangiaMake up
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani na uzuri unachangiaMake up
Ukiwa unamkosoa mtu hakikisha wewe uko sawa! Luga ndiyo nini!?Luga anajua? sio aende kuiaibisha nchi anavyofanyiwa interview
Aaah!Ungemuona bila mekapu ungetoroka
Ukiona simba yupo juu ya mti kapandishwa tu.Hamisa party yake washauza ticket zote
Autoe wapi?Nadhani na uzuri unachangia
Huo alionaoAutoe wapi?
Kylin, JokateWarembo wengi Wa bongo hawako upstair wengi ni wana tabia za kiswahili Swahili hawajielewi...
Bongo sijaona demu upstair walau kumfikia akothe, zari au simisola.... Sio wema , Hamisa wala yasinta ..
Mademu walio upstair kutoka bongo ni ambao hawapo kwenye tasnia ya bongo movie na wachache kwenye music....
Umemaliza Dear, Hamissa akatae hela kisa party ni tarehe moja na ya zari?Mimi nampenda Zari, Ila Kwenye hili Hamis naona Hana makosa
Zari ana Bifu na Don Zella , party aliyo host Hamisa imeandaliwa na Don Zella kwa lengo tu la kumkomoa Zari Don Zella akapanga tarehe moja akajua Zari ataangukia pua Ila Zari kamfunika Don Zella wakati Hamisa kashavuta Pesa yake aliyoahidiwa.
Kwa upande wa Tz ilikuwa Hamisa 'Vs Zari
Wakati Ug ilikuwa. Don Zella Vs Zari
Kwa updates ninazozishuhudia White Party ilifunika Kwa 5-0 upande wa pili wanapumulia pua
Mimi team Zari kindakindaki Part angeiandaa Hamisa mwenyewe hapo kweli Ila Hamisa kapewa dili afanye hata Mimi Siwez kataa Kisa mke mwenzangu kila Mmoja Anatafuta Ridhki kwa namna yake na hata ukisoma comment nyingi za Waganda wanamchamba Don ZellaUmemaliza Dear, Hamissa akatae hela kisa party ni tarehe moja na ya zari?
Watanzania tuna roho mbaya hatupendi mwenzetu afanikiwe ingekua ndiyo zari kafanya hivyo kwa mtu wa Tz angesifiwa humu balaa.
Chuki na roho mbaya zimetujaa.
mara wanamsema anamuiga Zari utafikiri huyo Zari kila anachokifanya amekivumbua yeye.