Leo ni miaka 2 tokea kifo cha Hayati Magufuli

Leo ni miaka 2 tokea kifo cha Hayati Magufuli

Amani Magufuri amezaliwa Tanzania kaikuta imejaa tele na akaitumia hiyo hiyo amani vibaya kutesa wengine,na mwisho kafa na amani bado iko vile vile.
Sasa ndio maana nauliza alichokiharibu ni kipi? Maana Tanzania ukitoa hiyo Amani haina cha maana cha kujivunia, sasa Magufuli aliikuta Amani na akaondoka akaicha hivyo hivyo amani maana yake hakuna alichoharibu. Tanzania ni ileile na matatizo yetu ni yaleyale tu.
 
heading ilikuwa nzuri naona mods wameibadirisha. Bado woga upo pale pale. Means hata serikali hii JF haiiamini.
Anyway angalau hawakuufuta uzi. Nilijua nikaicopy na kuweka kichwa kilivyo:
Leo ni miaka 2 tokea kifo cha dikteta, nduli na fashsist Pombe magufuli kimsboy johnthebaptist
Kunamwingine kaweka kichwa hiki nadhani nacho hakitadumu:

Kama kweli kuna Jehanam na Pagratori, basi Mungu ongeza Kuni jamaa aungue zaidi​

Hata mimi nimeshangaa sana
 
Sasa ndio maana nauliza alichokiharibu ni kipi? Maana Tanzania ukitoa hiyo Amani haina cha maana cha kujivunia, sasa Magufuli aliikuta Amani na akaondoka akaicha hivyo hivyo amani maana yake hakuna alichoharibu. Tanzania ni ileile na matatizo yetu ni yaleyale tu.
Ametuwekea Bunge Butu lisilo na maamuzi,leo twiga wanasafirishwa kwenda uarabuni bila pingamizi.
 
Afadhali shetani alikwenda zake!! Ila vile vishetani vyake ndo vinaangaika sasa wakati baba yao akiongezewa magunia ya mkaa!!
 
Vipi hapo kwanza umeshakula? Au njaa kali na hauwezi kupata 4500 ya maharage 😀 basi pumzika tu, oh nimesahau kumbe hauwezi kupumzika haujaoga wiki sasa maji ni mgao umeme mgao na hakuna kitu unaweza fanya 😀 basi changia hata tozo au tembelea hata wajane waliopoteza maisha na kudhulumiwa kwa tozo na huduma mbovu za afya huko ICU! Au wao sio watu pia? Basi tembelea hata machinga waliofukuzwa masokoni, Au weka namba zako basi na wewe ulambe asali 😀 au hauna vocha? Kuna watu wajinga, Ila mleta mada ni punguwani
 
Ametuwekea Bunge Butu lisilo na maamuzi,leo twiga wanasafirishwa kwenda uarabuni bila pingamizi.
Bunge huwa siku zote ccm ndio wengi na ndio wana nguvu ya maamuzi ya ndioooo. Sasa kama unaona kukosekana kwa akina Mbowe Lissu n.k ndio inafanya bunge kuwa hivi lilivyo basi bado upande wa bunge ni tatizo.
 
Vipi hapo kwanza umeshakula? Au njaa kali na hauwezi kupata 4500 ya maharage 😀 basi pumzika tu, oh nimesahau kumbe hauwezi kupumzika haujaoga wiki sasa maji ni mgao umeme mgao na hakuna kitu unaweza fanya 😀 basi changia hata tozo au tembelea hata wajane waliopoteza maisha na kudhulumiwa kwa tozo na huduma mbovu za afya huko ICU! Au wao sio watu pia? Basi tembelea hata machinga waliofukuzwa masokoni, Au weka namba zako basi na wewe ulambe asali 😀 au hauna vocha? Kuna watu wajinga, Ila mleta mada ni punguwani
Walamba asali wa zamani naona mmechukia sana, jiandaeni kwa hali hii kwa miaka mingi ijayo.
 
Magufuli was a country bumpkin.

Good riddance to bad rubbish.

Leo ni siku ya kusherehekea.

Let the Champagne pop!
 
Mwizi wewe na uzushi wako mwamba JPM anawatesa sana na itachukua miaka 50 kubainii tofauti ambapo utakuwa umechelewa
 
Mwizi wewe na uzushi wako mwamba JPM anawatesa sana na itachukua miaka 50 kubainii tofauti ambapo utakuwa umechelewa
Mama Samia anaendelea kufunguka na kijitenga na JPM. Leo hakufika Chato na wala kusema lolote kuhusu huyo shujaa wa Genge S.
 
Back
Top Bottom