nuruyamnyonge
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 4,408
- 2,196
Mungu apewe sifa na utukufu, Lissu endelea kulisaidia Taifa lako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni akina Makonda na genge la WASIOJULIKANA lililotumwa na Dikteta dhalimu Magufuli.Hadi leo hawajulikani bado
Yule aliyeonekana kule Vatican kwa Papa?😂🐼alitaka kuuliwa na yule jamaa wa kanisa moja takatifu la mitume.
AmenSifa na shukrani zimrejelee Mungu wa Mbinguni!
Bila shaka tukio lilifanywa na mapepo😂Hadi leo hawajulikani bado
Miaka 6 tangu tukio. Lakini bado kuna siri kubwa kuhusu dereva. Hivi ni mimi peke yangu nisiyejua dereva alipo muda wote huo? Mwanzoni tuliambiwa anatibiwa (anapewa psychological treatment) Nairobi. Baadaye akaenda Ubelgiji pamoja na Lisu. Lisu mwenyewe akawa anarudi Tanzania mara kwa mara na hivi sasa anadiriki hata kufanya mikutano ya hadhara bila kudhuriwa na yo yote. Ni kitu gani kizito hicho kinachomfanya dereva asite kurudi Tanzania? Ni nani anayemgharamia kuishi huko ughaibuni siku zote hizo?Mungu wa mbinguni mbariki sana Tundu Antipas Lissu Ili siku moja aliongoze Taifa Hili
Tundu Antipas Lissu ni Muujiza Unaoishi
Mungu wa mbinguni awabariki sana wote mlioshiriki kuutetea Uhai wa jasiri Tundu Antipas Lissu
Zaidi soma - DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali
View attachment 2741765
Muonekano wa Gari alilokuwa anatumia Tundu Lissu siku aliyoshambuliwa
Ukijificha kwenye hoja ya dreva wa Lissu kwenye hoja ya Tundu Lissu kushambuliwa utakuwa una akili ndogo kama ya mende. Mende hula kabatini lakini huishi kwenye mutaro michafu.Miaka 6 tangu tukio. Lakini bado kuna siri kubwa kuhusu dereva. Hivi ni mimi peke yangu nisiyejua dereva alipo muda wote huo? Mwanzoni tuliambiwa anatibiwa (anapewa psychological treatment) Nairobi. Baadaye akaenda Ubelgiji pamoja na Lisu. Lisu mwenyewe akawa anarudi Tanzania mara kwa mara na hivi sasa anadiriki hata kufanya mikutano ya hadhara bila kudhuriwa na yo yote. Ni kitu gani kizito hicho kinachomfanya dereva asite kurudi Tanzania? Ni nani anayemgharamia kuishi huko ughaibuni siku zote hizo?
Dereva wa Lisu alisoma huko huko Ubelgiji akapewa uraia na ameajiriwaMiaka 6 tangu tukio. Lakini bado kuna siri kubwa kuhusu dereva. Hivi ni mimi peke yangu nisiyejua dereva alipo muda wote huo? Mwanzoni tuliambiwa anatibiwa (anapewa psychological treatment) Nairobi. Baadaye akaenda Ubelgiji pamoja na Lisu. Lisu mwenyewe akawa anarudi Tanzania mara kwa mara na hivi sasa anadiriki hata kufanya mikutano ya hadhara bila kudhuriwa na yo yote. Ni kitu gani kizito hicho kinachomfanya dereva asite kurudi Tanzania? Ni nani anayemgharamia kuishi huko ughaibuni siku zote hizo?
Daah! Wakubwa wanakulaga raha sana 😅🙏Mungu wa mbinguni mbariki sana Tundu Antipas Lissu Ili siku moja aliongoze Taifa Hili
Tundu Antipas Lissu ni Muujiza Unaoishi
Mungu wa mbinguni awabariki sana wote mlioshiriki kuutetea Uhai wa jasiri Tundu Antipas Lissu
Zaidi soma - DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali
View attachment 2741765
Muonekano wa Gari alilokuwa anatumia Tundu Lissu siku aliyoshambuliwa
Usaliti wake wa tutashitakiwa MIGA ulimponzaMungu wa mbinguni mbariki sana Tundu Antipas Lissu Ili siku moja aliongoze Taifa Hili
Tundu Antipas Lissu ni Muujiza Unaoishi
Mungu wa mbinguni awabariki sana wote mlioshiriki kuutetea Uhai wa jasiri Tundu Antipas Lissu
Zaidi soma - DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali
View attachment 2741765
Muonekano wa Gari alilokuwa anatumia Tundu Lissu siku aliyoshambuliwa
Lakini bado anadunda kama Lowassa huku Kibabu Sadifa hajulikani alipo!Usaliti wake wa tutashitakiwa MIGA ulimponza
Ulikuwepo wakati akimpiga hiyo risasi,una ushahidi we kenge.Ana HAKI MAREHEMU KTJ UZIMA WAKE NDIYE ALIYEMPIGA RISASI NINGEKUWA MIMI NINGEKUNYA JUU YA KABURI LA MAREHEMU KAMA ALIVYOSHAURI Kigogo 2014
Tundu Lissu anatembea kufanya mikutano kama mwanasiasa,.Hivi kuna mtu ambaye ana tembezwa Tanzania nzima kama Tundu Lissu ili Wananchi waende kushangaa na kumuonea huruma tu....
Hivi unajua CHADEMA walishampachika Lissu kuwa ni "Kivutio" chao? Aisee
Huo ni Ukweli sasa weye, weye
Wewe ni Muongo, Mwili wa Hayati Raisi JPM haukutembezwa Tanzania Nzima.
Shujaa aliagiza, akifa asipitishwe bungeni kupewa heshima za mwisho, pelekeni haraka Singida kuzika, kinyume chake, Mungu kaagiza yeye apelekww Chato haraka kuzikwa...kwa kweli Mungu ni fundi.Hivi kuna mtu ambaye ana tembezwa Tanzania nzima kama Tundu Lissu ili Wananchi waende kushangaa na kumuonea huruma tu....
Hivi unajua CHADEMA walishampachika Lissu kuwa ni "Kivutio" chao? Aisee
Huo ni Ukweli sasa weye, weye
Wewe ni Muongo, Mwili wa Hayati Raisi JPM haukutembezwa Tanzania Nzima.