eliasmisinzo
JF-Expert Member
- Aug 13, 2021
- 1,259
- 1,321
Ungekuwa mkubwa wa Polisi halafu ushindwe kupeleleza tukio kubwa la ujambazi wa kupiga risasi mtu mchana kweupe, halafu utoe kisingizio Cha dreva kutoonekana, basi ungekuwa mkubwa wa Polisi mjinga kupita maelezo.Miaka 6 tangu tukio. Lakini bado kuna siri kubwa kuhusu dereva. Hivi ni mimi peke yangu nisiyejua dereva alipo muda wote huo? Mwanzoni tuliambiwa anatibiwa (anapewa psychological treatment) Nairobi. Baadaye akaenda Ubelgiji pamoja na Lisu. Lisu mwenyewe akawa anarudi Tanzania mara kwa mara na hivi sasa anadiriki hata kufanya mikutano ya hadhara bila kudhuriwa na yo yote. Ni kitu gani kizito hicho kinachomfanya dereva asite kurudi Tanzania? Ni nani anayemgharamia kuishi huko ughaibuni siku zote hizo?