Leo ni miaka 6 tangu Tundu Antipas Lissu ashambuliwe kwa risasi na Watu wasiojulikana

Ungekuwa mkubwa wa Polisi halafu ushindwe kupeleleza tukio kubwa la ujambazi wa kupiga risasi mtu mchana kweupe, halafu utoe kisingizio Cha dreva kutoonekana, basi ungekuwa mkubwa wa Polisi mjinga kupita maelezo.
 
Ungekuwa mkubwa wa Polisi halafu ushindwe kupeleleza tukio kubwa la ujambazi wa kupiga risasi mtu mchana kweupe, halafu utoe kisingizio Cha dreva kutoonekana, basi ungekuwa mkubwa wa Polisi mjinga kupita maelezo.
Huenda nikawa mjinga kweli. Lakini ni raia tu wa kawaida na si Polisi. Ninavyoelewa, atakaye kujifunza ndiye mwerevu. Mjinga ni yule asiyetaka kujifunza. Tafadhali, naomba unijuze suala hilo ili nitoe ujinga wangu.
 
Shujaa aliagiza, akifa asipitishwe bungeni kupewa heshima za mwisho, pelekeni haraka Singida kuzika, kinyume chake, Mungu kaagiza yeye apelekww Chato haraka kuzikwa...kwa kweli Mungu ni fundi
Muongo
 
Inasikitisha sana mpaka sasa hakuna hata assailant mmoja aliyekamatwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…