Leo ni mwaka mmoja kamili toka kifo cha Shangazi wetu kilipotokea kwa kutumbuliwa utumishi Serikalini. Inasikitisha

Hili lilihitaji hekima zaidi, Watu wanaosisitiza hekima itumike wana hoja, maana ni hekima hiyo hiyo ilitumika kuwarudisha makazini wateule wakisiasa waliotumbuliwa na mhusika mwenyewe.

Kuna sehemu ukituma barua za maombi ya kazi hauambatanishi cheti, na wanakuambia usiambatanishe cheti na hutakaa uulizwe cheti. Andaa CV yako vizuri yenye referees ambao wataulizwa kuhusu wewe inapobidi, kafanye interview ya mdomo na vitendo (kama inahusisha interview ya vitendo) wakikupima wakaona una sifa unalamba ajira. Kwa muono wangu ndizo sehemu zinaongoza kwa matokeo chanya ya kiutendaji.

Sina maana ya kutetea utamaduni wa kupata kazi huko serikalini bila cheti maana inaonekana cheti ni kitu cha msingi sana huko, binafsi nimesoma la kwanza mpaka la kumi na sita bila kurudia hata mwezi mmoja. (Maana humu JF unaweza kuambiwa unacheti feki kwasababu tu umewatetea wahanga.)
 
Wacha kutetea mashundu hicho unachoandika kinafanyika Private Entity serikali haiwezi nipangia ni ajiri vipi kwenye kampuni yangu.

Serikalini ni Public Office Cheti ni each and everything no matter what...usijaribu ku entertain ujinga kama huu, aliuetumbuliwa kwa cheti feki au kutofuata system sina huruma naye nina roho mbaya sana katika hili.
 
Ndio maana wana matokeo chanya kuliko huko mnakoombana vyeti sababu wanatazama ujuzi, na ukilega lega kidogo unawekwa kwenye uangalizi wa perfomance yako, ukishindwa unaondewa kwa maslahi mapana yatasisi/kampuni.

Sijakuomba uwaonee huruma, nimesema tu hekima ilipaswa kutumika kama ilivyotumika kwa mkurugenzi wa kahama etc.
 
Poleni sana.
 
Ndio maana wana matokeo chanya kuliko huko mnakoombana vyeti.
Cheti is one thing matokeo is another thing...Kama suala ni matokeo sio cheti then hakuna mantiki ya kuwepo Vyuo vikuu mimi sio muhasibu niajiriwe kokote kama muhasibu, logisticians, HR, Mwalimu kokote niajiriwe kwasababu serikali haingalii cheti inataka matokeo unashindwa Reason hiki.

Ajira za walimu nchi nzima watu 50 Million wangeomba si hawangalii cheti.

Vyuo vyote vibomolewe haina haja ya kusoma uhasibu kumbe ajira ni unaajiriwa tu sifa matokeo sio cheti.

You can imagine Dunia ingekuwaje hii.
Sijakuomba uwaonee huruma, nimesema tu hekima ilipaswa kutumika kama ilivyotumika kwa mkurugenzi wa kahama etc.
Hakuna hekima kwenye illegal kama serikali ilikosea kweli kama step za mtu kufanya illegal then unakuja kusema upo kazini 30 years GO AND DIE.
 
Punguza hasira, ukinisoma vizuri sijasema wasiajiri kwa kuangalia vyeti, sababu ndio sheria au ada huko. nimesisitiza kuwa wangeangaliwa kama alivyoangaliwa yule mkurugenzi.

Daktari mwenye cheti feki aliyehudumu kwa 30 years hawezi fanana na daktari aliyetoka kupata cheti leo, fikiri.

Lilikuwa ni kosa, kosa ka kufoji kulikuwa na namna ya kuwawajibisha lakini sio ilivyofanyika, moja ya viti vilivyowadissapoint watu katika utawala wa The late ni double standards.
 
Punguza hasira
Najitahidi maana sipendagi petpet ujinga
ukinisoma vizuri sijasema wasiajiri kwa kuangalia vyeti, sababu ndio sheria au ada huko. nimesisitiza kuwa wangeangaliwa kama alivyoangaliwa yule mkurugenzi.
You Miss A Point na bado hujui

Private sector huwezi fananisha na Public hata kidogo...Private njia yeyote watumie hakuna wakuingilia

Also, hatupo hapa kujadili udahili OP

Suala nafasi ya cheti, Serikalini itumike njia yeyote ile Duniani ya kudahili watu Cheti lazima kitumike no matter What...Cheti ndio verification ya HAKI.

Serikali ni kampuni ya wananchi HAKI ni kilakitu Haki huwezi kui Verify bila Cheti ndio maana system na utaratibu wote upo on paper tangu unazaliwa kwenda nao tofauti ni wewe usitafute huruma ukienda nao tufauti.
Daktari mwenye cheti feki aliyehudumu kwa 30 years hawezi fanana na daktari aliyetoka kupata cheti leo, fikiri.
So niajiriwe basi kama Dakatari nihudumie miaka 30 na mimi na kuna mdogo wangu, Demu wangu wa ubungo, shangazi, wanangu wote tuje tuajiriwe kama madakari suala si unaajiriwa kisa unaenda pata uzoefu huko.

Na Muhas igeuzwe soko la machinga

use your thinking japo
Lilikuwa ni kosa, kosa ka kufoji kulikuwa na namna ya kuwawajibisha lakini sio ilivyofanyika, moja ya viti vilivyowadissapoint watu katika utawala wa The late ni double standards.
Acha kutetea dhambi unasema kabisa Kosa alafu unasema namna.
 
Una hoja, mfano kulikuwa na athari gani angewaacha na kutoa onyo na sheria zitiliwe maanani kwa ajira zinazofuata, tofautisha na madhara ya kuwaondoa.

Hata hivyo you also miss my point, Sijatetea matumizi ya cheti feki huko serikalini, ni kosa ambalo lilishafanyika.
 
Una hoja, mfano kulikuwa na athari gani angewaacha
Hakuna tatizo...

Mfano kuna athari gani mimi na demu wangu hadija wa buza, sele bonge, shangazi yangu na wanangu wakitaa tukaajiriwa kama madaktari na kuachwa...Si hakuna tatizo pia.

You can reason Dunia ikitumia falsafa hii itakuwaje.
na kutoa onyo na sheria zitiliwe maanani kwa ajira zinazofuata, tofautisha na madhara ya kuwaondoa.

Hata hivyo you also miss my point, Sijatetea matumizi ya cheti feki huko serikalini, ni kosa ambalo lilishafanyika.
 
Kwa hili suala la vilaza kuforge vyeti na kuingizwa kwenye ajira ni ungese , haikubaliki , I hated Magufuli and his gang lakini Kwa hili kama mtu ulitumbuliwa Kwa kuwa na vyeti fake ni Sawa tena ilibidi mfungwe kabisa , ni jinai
Kwa hili suala la vilaza kuforge vyeti na kuingizwa kwenye ajira ni ungese , haikubaliki , I hated Magufuli and his gang lakini Kwa hili kama mtu ulitumbuliwa Kwa kuwa na vyeti fake ni Sawa tena ilibidi mfungwe kabisa , ni jinai
Your a Man.

Ungese sana huu
 
Hakuna tatizo...

Mfano kuna athari gani mimi na demu wangu hadija wa buza, sele bonge, shangazi yangu na wanangu wakitaa tukaajiriwa kama madaktari na kuachwa...Si hakuna tatizo pia.

You can reason Dunia ikitumia falsafa hii itakuwaje.
I rest my case.
 

Kutumbuliwa kwa vyeti feki kimeumiza watu wengi sana,just imagine watu watumishi elfu 11 walikuwa wanategemewa na ndugu,jamaa,wazazi,marafiki etc! Cha kushangaza hata maao yao hawajalipwa ,hapa JPM alifanya ukatili wa kiwango cha Juu sana zaidi ya SGR,umewafukuza kazi na bado ukawanyima mafao yao?? Hii dhambi kubwa sana na itaendelea kuitafuna awamu zote mpaka walipe haki za waliotumbuliwa ile wakunjue mioyo yao.

Watu wengi wanapata stroke/visukari/pressure ,familia zimegawanyika kwa kipato kupotea ,vifo vimetokea ,watoto wamekosa elimu ,wengine wameingia kwenye biashara haamu kwa ajili ya kujiapatia kipato.

Serikali ya Mh Samia fikirieni kuwapa mafao yao waliotumbuliwa na waliofariki ndugu zao wapewe,dhuluma ni dhambi kubwa sana,ndio mmewafukuza atleast basi wapewe chao walichokifanyia kazi,madudu mangapi viongozi wa serikalini wanafanya? kama kosa limefanyika la kufoji vyeti sawa ila muwalipe stahiki zao.
 
Lengo ni kupiga fedha za mafao akanunue midege ,kufanya white elephants projects kuwadanganya wanyonge kwamba ameleta "maendereo" (ambao hawajui kitu kinachoendelea)
 
Swali
Kufanya hivyo ilikuwa legal au illegal??
Yeye mwenyewe alikuwa na Phd feki baada ya kuanza kuumbuliwa na Ben saanane akaona ampoteze,tuseme ukweli serikali yenyewe inafanya madudu kibao alkini wanaendelea kudunda tu makazini ,PM anadangaya watu hovyo hovyo ambapo kimaadili tu ilitakiwa awe ashaachia ngazi.

Hekima hekima hekima ,JPM hakutumia hekima katika vyeti feki,ukweli utabaki kuwa ukweli ,ukisema ufatishe haki hata yeye mwenye aliingia kimagumashi IKULU,Lowassa alimpiga za chembe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…