Utafikiri yeye mwema saaaaaana ndo maana hajafa. Ushabiki wa kisiasa unaondoa akili kabisaVipi watu wema wanaokufa!?
Je tunakufa sababu tumewakosea watu ama tunakufa sababu ni lazima TUKUFE tu!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utafikiri yeye mwema saaaaaana ndo maana hajafa. Ushabiki wa kisiasa unaondoa akili kabisaVipi watu wema wanaokufa!?
Je tunakufa sababu tumewakosea watu ama tunakufa sababu ni lazima TUKUFE tu!?
Ya kwangu tayari mbona.Ya kwako ni lini tuje kunywa bia?mtu mwenye akili timamu hawezi kuongea hivyo.
Sawa muondoe lakini amekufanyia kazi kwa mika 33 ameokoa maisha ya wazazi wangapi? Amezalisha kinamama wajawazito wangapi? Je kwa miaka yote hyo anastahili kuondoka bila mafao?Huu utaratibu wa Kila mtu kujiona anapaswa kufikiriwa ndiyo ulokua unalalamikiwa miaka nenda rudi,unajisikiaje mtu anafanya kazi kwa Vyeti vya ujanja janja then wewe mwenye Vyeti visivyo na shaka unahangaika upo uraiani.
Hili fagio bado lilipaswa kuendelea tu na hakuna huruma iwe umefanya kazi hata miaka100,lazma uwajibishwe.
We huoni kiasi gani manesi feki wanavyokatiza maisha ya wagonjwa wangapi mahospitali?
Nimeshuhudia watu wakitengeneza Vyeti feki na hata Mimi nishaombwa cheti changu kieditiwe mtu aingizwe kwenye system na Mkubwa mmoja bwana wake mdada aliyekua rafiki yangu.
Haya Mambo ukiangalia kijujuu na kihuruma huruma nchi haitoenda na utaishiwa kulaumiwa tu Kama utawala wa J.k