Leo ni ndani ya Naija..sio NYC beutiful Omotora....

Leo ni ndani ya Naija..sio NYC beutiful Omotora....

FirstLady1

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2009
Posts
16,789
Reaction score
5,401
Omotola-21.jpg


Omotola-New-Shots-2010-BellaNaija007.jpg


184P3588.jpg


Tupumzike kidogo na uchaguzi ...
 
Tunashukuru FL1 kwa picha, PAMOJA NA UREMBO WAO lakini SLAA atashinda!...KAZI NA DAWA!
 
Dhambi nilizotenda leo juu ya picha hizi, ee Mungu, mbili zihamishie kwa FL1.:confused2::confused2:
 
Dhambi nilizotenda leo juu ya picha hizi, ee Mungu, mbili zihamishie kwa FL1.:confused2::confused2:

hahaha waombee na wenzio watakao tenda dhambi kwa picha hii pia .......
 
hahaha waombee na wenzio watakao tenda dhambi kwa picha hii pia .......

Pia nusu ya dhambi watakazozitenda kina Kimey, Kaizer, Teamo, Fidel, The Finest, Bigirita, Next level, Acid,Dark City, Dreamliner. Klorokwini,Maxence , Roya Roy, Invisible, Maskini_Jeuri na wanachama wote hai wa Infidelity Social Club zihamie kwa FL1.
 
Pia nusu ya dhambi watakazozitenda kina Kimey, Kaizer, Teamo, Fidel, The Finest, Bigirita, Next level, Acid,Dark City, Dreamliner. Klorokwini,Maxence , Roya Roy, Invisible, Maskini_Jeuri na wanachama wote hai wa Infidelity Social Club zihamie kwa FL1.

heee ni nini kumbebesha mwenzio dhambi zako kwa matamanio yako?...hebu huko.
 
Dhambi nilizotenda leo juu ya picha hizi, ee Mungu, mbili zihamishie kwa FL1.:confused2::confused2:

Heee hivi kumbe inawezekana eeh....?
Mi naomba za kwangu zote ahamishie kwako....
 
Pia nusu ya dhambi watakazozitenda kina Kimey, Kaizer, Teamo, Fidel, The Finest, Bigirita, Next level, Acid,Dark City, Dreamliner. Klorokwini,Maxence , Roya Roy, Invisible, Maskini_Jeuri na wanachama wote hai wa Infidelity Social Club zihamie kwa FL1.

Asprin bwana tamaa zako zinikoseshe ufalme wa mbiguni...hapa lazima nitakata rufaa
 
Heee hivi kumbe inawezekana eeh....?
Mi naomba za kwangu zote ahamishie kwako....
Na wewe dhambi nazozitenda juu ya avatar yako tangu ijumaa, nusu yake zihamie kwenye kiuno chako....ushindwe na ulegee:eyebrows:
 
nimem miss BHT jamani....

Hivi hakukuambia lile jaribio lake la kutotumia kondom lilimtokea puani? Mwenzio yuko kwenye Martenity Leave...(Anatumia ID mpya....stuka!!):lol::lol::lol:
 
Hivi hakukuambia lile jaribio lake la kutotumia kondom lilimtokea puani? Mwenzio yuko kwenye Martenity Leave...(Anatumia ID mpya....stuka!!):lol::lol::lol:

jamani hizi ID zinatuchanganya sasa, hebu mwambie anisalimie pm, mpaka sasa mie cjamtambua CBZ ni nani walaah.
 
Hivi hakukuambia lile jaribio lake la kutotumia kondom lilimtokea puani? Mwenzio yuko kwenye Martenity Leave...(Anatumia ID mpya....stuka!!):lol::lol::lol:


hapa sijui kama nimesoma vizuri ama nahitaji safety goggles<?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-com😱ffice😱ffice" /><o😛></o😛>
:confused2::becky:
 
jamani hizi ID zinatuchanganya sasa, hebu mwambie anisalimie pm, mpaka sasa mie cjamtambua CBZ ni nani walaah.
Hahahahaha! nakumbuka enzi zako za barbra mpaka mjukuu wangu MJ1 alikuomba urudi uendelee kuwa nyama yetu!
 
jamani hizi ID zinatuchanganya sasa, hebu mwambie anisalimie pm, mpaka sasa mie cjamtambua CBZ ni nani walaah.

Mie nakuwa so confused bwana marafiki wa karibu wanabadili ID bila kutoa notice sijui tutawatambua vip??:becky:
 
Back
Top Bottom