Kopo la choo ni nani sasa?, nani na nani waliopita?lile n kopo la choo kila mtu anatumia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]SEDUCE ME.
Hii ngoma imesababisha watu kuoana dadeq
Huwa nampuuza Mange kumbe anayoandika huwa yana ukweli mwingi, hili jambo nimelisoma kwake kuwa kyna hii video shooting itafanyika kudivert intention ya seduce me.
Kwani video zote anazoshoot huwa anawatangazia? Una akili ndogo kiasi hiki?Lakini angetangazia mashabiki sio vizuri alivyo Fanya. team mond mmetengwa poleni sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani video zote anazoshoot huwa anawatangazia? Una akili ndogo kiasi hiki?Lakini angetangazia mashabiki sio vizuri alivyo Fanya. team mond mmetengwa poleni sana
Sent using Jamii Forums mobile app
ingekua ni kudivert mbona dai hajapost ameamua kufanya kimyakimya..,vitu vingine jiulize kabla ya kpost sio mnachukua tu kwa hy mchawi wa instagramHuwa nampuuza Mange kumbe anayoandika huwa yana ukweli mwingi, hili jambo nimelisoma kwake kuwa kyna hii video shooting itafanyika kudivert intention ya seduce me.
Nimewadharau sana hawa WCB burw kabisa.
Ndoa ya kiislamu inafungwa nyumbani kwao bibi harusi, hawa vilaza hata vitu vidogo kama hivi wameshindwa kuvielewa kwa sababu ya kuweweseka na Kiba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi uliyonayo ni kuwadharau WCB tu, funny enough hata hawatambui uwepo wako, dharau, dharau tena, teh we dharau tu si ndo kazi pekee uliyonayo? Dume zima .......Huwa nampuuza Mange kumbe anayoandika huwa yana ukweli mwingi, hili jambo nimelisoma kwake kuwa kyna hii video shooting itafanyika kudivert intention ya seduce me.
Nimewadharau sana hawa WCB burw kabisa.
Ndoa ya kiislamu inafungwa nyumbani kwao bibi harusi, hawa vilaza hata vitu vidogo kama hivi wameshindwa kuvielewa kwa sababu ya kuweweseka na Kiba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora kiba kampa Zari kibao cha kuombea ndoa
Tizama ka seduce Adi ndo imetokea chezeya Kiba ww?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kajiue bas kama hutaki kuambiwa ukweli huo ni udaku afu usikute ni dume zima.
Sent using Iphone 7+
Nimejiuliza ndoa za kiislamu huwa zinafanyika kikeni au msikitini na siyo nyumbani kwa mume.ingekua ni kudivert mbona dai hajapost ameamua kufanya kimyakimya..,vitu vingine jiulize kabla ya kpost sio mnachukua tu kwa hy mchawi wa instagram
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu yupi huyu unayemshikirisha kwenye ulaghai? acha kufuru.Hongera diamond na zari has a zari umetukanwa mno na zile team mbili wakikusimangia ndoa hayawi hayawi sasa yamekua mwenyezi Mungu abariki ndoa yenu awape kheri na afya njema mlee watoto wenu kwa kumpendeza MUNGU
Mungu yupi huyu unayemshikirisha kwenye ulaghai? acha kufuru.Hongera diamond na zari has a zari umetukanwa mno na zile team mbili wakikusimangia ndoa hayawi hayawi sasa yamekua mwenyezi Mungu abariki ndoa yenu awape kheri na afya njema mlee watoto wenu kwa kumpendeza MUNGU