Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Weka majina ya watanzania waliokufa na njaa kwa sababu ya bei!! Otherwise ni mihemuko tu na kukariri maneno kama kasuku!Uhalifu unaofanywa na awamu ya sita ni mbaya zaidi kuliko kipindi cha sabaya maana kwa sasa wtz wengi wanakufa kwa njaa inayotokana na kupandisha bei ya vyakula hovyohovyo akisaidiwa ba chawa wake
Mbona wewe mwenyewe hujafa njaa