Stress ukizipa mgongo, wala haziumizi.Kwann wakose smile, maisha mafupi haya bhana
Ni kuenjoy tyuuh
Utasikia maelfu wamvumilia Luka JFHakuna mtu nnae mvumilia Kama Luka Mwashambwa huyu Anko ananikwaza Sana.
Jamaa badala awafate watu anaweka matangazo yake wazi wazi nzi wanajaa kwenye application
Tusi mseme sana ataacha kupostπ€£π€£π€£π€£Jamaa badala awafate watu anaweka matangazo yake wazi wazi nzi wanajaa kwenye application
Mkuu asije akapita hapa akaacha kupost opportunities za watu wa kubeba box ulaya maana nishaongea nae kuhusu hitaji languππππππ
HahahhaMaxence Melo : natamani tukutane uso kwa uso tuchapane, nina wasiwasi atakimbia kama mwakinyo.
Keyboard warrior
Je kama ID ya Lucas mwashambwa ni yake!?Amekukwaza nini? Mbona ni mtu poa tu.