Leo ni siku ya kuvumiliana duniani. Ni member gani humu umemvumilia vya kutosha sasa basi?

Leo ni siku ya kuvumiliana duniani. Ni member gani humu umemvumilia vya kutosha sasa basi?

Jamaa badala awafate watu anaweka matangazo yake wazi wazi nzi wanajaa kwenye application

Mkuu asije akapita hapa akaacha kupost opportunities za watu wa kubeba box ulaya maana nishaongea nae kuhusu hitaji langu😃😄😁😃😁😁
Tusi mseme sana ataacha kupost🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom