Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Kuku si watakuwepo wa kutosha?Uje na zawadi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuku si watakuwepo wa kutosha?Uje na zawadi
Imeisha hiyo. Tufanye tu mchakato wa ndoa. Nielekeze kwenu nitume mshenga fasta.....😳😳😳
Inaonekana nitalifaidi sana penzi lako maana sio kwa mistari hii kipenzi.
Nami naahidi kukulinda kuliko kuku alindaye vifaranga vyake...
Hatari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuku tena....hapa ndo penyewe aiseeKuku si watakuwepo wa kutosha?
Basi zawadi nitakuja nazo za kutoshaKuku tena....hapa ndo penyewe aisee
Usijali.Imeisha hiyo. Tufanye tu mchakato wa ndoa. Nielekeze kwenu nitume mshenga fasta.
Asante mpenziBasi zawadi nitakuja nazo za kutosha
Kitu kirahisi sana. Nilipokulia ni hukuUsijali.
Ila utaweza kupanda milima ya Lushoto?
Karibu...
Basi tutawezana....Kitu kirahisi sana. Nilipokulia ni hukuView attachment 2816414
Kwani kafanyaje???Huyu Pimbi Lucas mwashambwa dish limeyumba nimemvumilia sana ujinga wake.
Watu wapo siriazi mlongo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1][emoji1]Hannah
Ana fake maisha na kujifanya yupo vizuri kumbe kapuku muuza visheti kwa wanafunzi
Nivumilie tu dada yanguWe jamaa wewe khaa!!
au basi.
Yaani utadhani ccm ndio inawapa pumzi.wajinga sana hawa mabwanaHuyu Lucas Mwashamba na Etwege
NoumaahHatari
Haswaaa yaan [emoji23][emoji23][emoji23]Watu wapo siriazi mlongo.
Nimeshaanza kuuzia bei za Diapers za watoto.Basi tutawezana....