Leo ni siku ya kuvumiliana duniani. Ni member gani humu umemvumilia vya kutosha sasa basi?

Leo ni siku ya kuvumiliana duniani. Ni member gani humu umemvumilia vya kutosha sasa basi?

....😳😳😳
Inaonekana nitalifaidi sana penzi lako maana sio kwa mistari hii kipenzi.
Nami naahidi kukulinda kuliko kuku alindaye vifaranga vyake...
Imeisha hiyo. Tufanye tu mchakato wa ndoa. Nielekeze kwenu nitume mshenga fasta.
 
Usijali.
Ila utaweza kupanda milima ya Lushoto?
Karibu...
Kitu kirahisi sana. Nilipokulia ni huku
20210809_111745.jpg
 
Back
Top Bottom