Leo ni Siku ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W.)

Leo ni Siku ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W.)

Toa aya au hadith inayoelekeza kusherehekea mazazi ya mtume sheikh
Siyo kila kitu lazima kielekezwe na aya,bali hutotakiwa kulifanya jambo ikiwa limekatazwa na aya,mfano aya imekataza kufunga ndoa na watu fulani,hivyo ambao hawakutajwa na aya ni ruksa kufunga nao ndoa,aya imeharamisha vyakula fulani, ambavyo havikutajwa ni halali bila aya kusema
 
Nawatakia Siku kuu njema na Ibada njema Ndugu Zangu wote na marafiki Zangu wote WA imani ya kiislamu. Uislam unapinga dhulma, hivyo niwasihi waislam kusimamia Haki yetu ya kuishi! Akipotezwa mmoja iwe ni Sawa na kutupoteza wote. Allah Akbar

Huo upuuzi kaongee kwenye nchi za uarabu. Nje ya nchi za kiarabu, huo ni ujuha.

Katika nchi yetu, akidhulumiwa au kuuawa mtu au mwananchi mmoja (bila kujali imani yake) isivyo haki taifa zima tutasimama.
 
Huo upuuzi kaongee kwenye nchi za uarabu. Nje ya nchi za kiarabu, huo ni ujuha.

Katika nchi yetu, akidhulumiwa au kuuawa mtu au mwananchi mmoja (bila kujali imani yake) isivyo haki taifa zima tutasimama.
kwani nilichoandika mimi na ulichoandika wewe tofauti ni nini? tusiwe tunasoma na kujibu mambo kwa jazba
 
Mama yake yesu ni nani?
Yesu ni Mungu,

Hana baba wala mama,Wala Hana mwanzo au mwisho wa siku zake. (Waebrania 7:3).

Mungu ni MMOJA, na YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake.

Ikiwa hujampa Yesu maisha Yako fuatisha Sala hii:

EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, ULEVI USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. Amen
 
Yesu ni Mungu,

Hana baba wala mama,Wala Hana mwanzo au mwisho wa siku zake.

Mungu ni MMOJA, na YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake.

Ikiwa hujampa Yesu maisha Yako fuatisha Sala hii:

EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, ULEVI USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. Amen
Yesu anaweza akawa mungu kwenu ila SIO MWENYEZI MUNGU. maana hata wahindi wanasema tembo na NG'OMBE NI MIUNGU YAO .yesu hawezi kuwa mungu MWENYEZI aliyeumba dunia
 
Yesu anaweza akawa mungu kwenu ila SIO MWENYEZI MUNGU. maana hata wahindi wanasema tembo na NG'OMBE NI MIUNGU YAO .yesu hawezi kuwa mungu MWENYEZI aliyeumba dunia
Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake.

Msisitizo uko hapo " Mungu ni MMOJA tu" wengine ni miungu, ndio maana nimemtaja Jina "YESU" Ili kumtofautisha na miungu mwingine.

Jina "YESU" , YESHUA ni Jina la Mungu Si la kibinadamu, kama huamini kamuulize mganga wako atakwambia.
 
kwani nilichoandika mimi na ulichoandika wewe tofauti ni nini? tusiwe tunasoma na kujibu mambo kwa jazba

Wewe umeandika sheria ya nchi za kiarabu, mimi naandika sheria ya nchi yetu isiyoendekeza desturi za kigeni.
Halafu jitathimini sana kama uislam unaeneza imani ya dini au desturi za kiarabu. Chambua kwa vigezo vichache kwa kuanzia kama vile:
1. Lugha ya ibada yao
2. Majina ya waumini wao
3. Mavazi yao.
4. Usanifu wa majengo yao ya ibada.
5. Mapishi na vyakula vyao.
6. Mazishi na maziko yao.
7. Ndoa na sherehe za harusi

With your open mind, fanyia kazi haya.
 
WADANGANYE WASIOUJUA UISLAMU. UISLAMU HAUNA URAFIKI NA WASIO WAISLAMU. UISLAMU=UGAIDI

Surah 3:151: "We shall cast terror into the hearts of those who disbelieve (all non-Muslims) …"

Surah 2:191: "And kill them (non-Muslims) wherever you find them … kill them. Such is the recompense of the disbelievers (non-Muslims

WADANGANYE WASIOUJUA UISLAMU. UISLAMU HAUNA URAFIKI NA WASIO WAISLAMU. UISLAMU=UGAIDI

Surah 3:151: "We shall cast terror into the hearts of those who disbelieve (all non-Muslims) …"

Surah 2:191: "And kill them (non-Muslims) wherever you find them … kill them. Such is the recompense of the disbelievers (non-Muslims)

WADANGANYE WASIOUJUA UISLAMU. UISLAMU HAUNA URAFIKI NA WASIO WAISLAMU. UISLAMU=UGAIDI

Surah 3:151: "We shall cast terror into the hearts of those who disbelieve (all non-Muslims) …"

Surah 2:191: "And kill them (non-Muslims) wherever you find them … kill them. Such is the recompense of the disbelievers (non-Muslims)."
Hebu weka kuanzia aya 2:190 hadi 2:193 tuone
 
Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake.

Msisitizo uko hapo " Mungu ni MMOJA tu" wengine ni miungu, ndio maana nimemtaja Jina "YESU" Ili kumtofautisha na miungu mwingine.

Jina "YESU" , YESHUA ni Jina la Mungu Si la kibinadamu, kama huamini kamuulize mganga wako atakwambia.

Uko sahihi, Muumba wa Mbingu na Nchi ni Mmoja. Hayo mengine ni uchakachuzi wa maRoma.
 
Mtume Muhammad (S.A.W) alikuwa na sifa nyingi za kipekee ambazo zimekuwa mfano wa kuigwa kwa Waislamu na wanadamu wote. Baadhi ya sifa zake kuu ni:

  1. Uadilifu na Uaminifu (Al-Amin)
    Mtume Muhammad alijulikana kwa uaminifu na uadilifu wake tangu utoto. Alipewa jina la "Al-Amin" maana yake ni "mwaminifu" kwa sababu watu walikuwa na imani naye sana katika masuala ya mali na siri zao.
  2. Huruma na Upole
    Alikuwa na huruma kubwa kwa wanadamu, wanyama, na mazingira. Aliwahurumia maskini, mayatima, na wale waliokandamizwa. Mtume Muhammad alihimiza watu kuwasaidia wengine, na upole wake ulionekana hata kwa maadui zake.
  3. Uvumilivu
    Katika nyakati za changamoto na mateso, Mtume Muhammad alionyesha uvumilivu mkubwa. Alivumilia mateso ya Maquraishi kwa miaka mingi kabla ya hijra kwenda Madina, na hakujibu mabaya kwa mabaya, bali aliwapa watu muda wa kutubu na kubadilika.
  4. Haki na Usawa
    Mtume Muhammad alikuwa mlinzi wa haki na usawa kati ya watu wa tabaka zote. Alipinga ubaguzi wa aina yoyote, iwe ni kwa rangi, rangi au hadhi ya kijamii. Alifundisha kuwa watu wote wako sawa mbele ya Mungu, na cheo kinachopimwa ni uchamungu wao.
  5. Unyenyekevu
    Licha ya kuwa kiongozi mkubwa na Mtume wa mwisho, Muhammad (S.A.W) aliishi maisha ya unyenyekevu. Alikataa anasa na maisha ya kifahari, na alikuwa mfano wa jinsi ya kuishi kwa unyenyekevu, bila ya kujali nafasi au cheo chake.
  6. Ujasiri
    Mtume Muhammad alionyesha ujasiri mkubwa katika kupigania haki na uadilifu. Aliongoza vita kadhaa bila woga kwa ajili ya kulinda dini na umma wake dhidi ya dhulma, huku akizingatia kanuni za haki hata wakati wa vita.
  7. Ukweli na Uaminifu
    Alikuwa mkweli daima, hata katika mazingira magumu au yanayotishia maisha yake. Hakuwahi kusema uwongo, na Waislamu wanamfuata katika kuwa waaminifu na kusema ukweli daima.
  8. Upendo kwa Familia na Wafuasi
    Mtume Muhammad alikuwa mume na baba mwenye upendo mkubwa. Alitenda haki na upendo kwa wake zake, watoto wake, na wafuasi wake wote. Aliwahimiza watu kuwapenda familia zao na kuwajali kwa moyo wa dhati.
  9. Uchaji Mungu na Ibada
    Mtume Muhammad alikuwa na ibada kubwa kwa Allah (S.W). Aliomba kwa bidii, alifunga sana, na alikuwa na uchaji wa kweli kwa Mwenyezi Mungu. Alikuwa mfano bora wa jinsi ya kuishi maisha ya kidini.
Sifa hizi zinamfanya Mtume Muhammad (S.A.W) kuwa mfano wa kipekee wa maadili na tabia njema kwa wanadamu wote.
Hivi yeye binafsi akiwa hai alishawahi kusherekea siku yake ya kuzaliwa? Na Maswahaba walishawahi kufanya Maulidi, na kwa Muisilamu unaruhusiwa kusherekea siku yako ya kuzaliwa?
 
Wewe umeandika sheria ya nchi za kiarabu, mimi naandika sheria ya nchi yetu isiyoendekeza desturi za kigeni.
Halafu jitathimini sana kama uislam unaeneza imani ya dini au desturi za kiarabu. Chambua kwa vigezo vichache kwa kuanzia kama vile:
1. Lugha ya ibada yao
2. Majina ya waumini wao
3. Mavazi yao.
4. Usanifu wa majengo yao ya ibada.
5. Mapishi na vyakula vyao.
6. Mazishi na maziko yao.
7. Ndoa na sherehe za harusi

With your open mind, fanyia kazi haya.
sawa
 
Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake.

Msisitizo uko hapo " Mungu ni MMOJA tu" wengine ni miungu, ndio maana nimemtaja Jina "YESU" Ili kumtofautisha na miungu mwingine.

Jina "YESU" , YESHUA ni Jina la Mungu Si la kibinadamu, kama huamini kamuulize mganga wako atakwambia.
Mungu anakufa?
 
Mungu anakufa?
Mwili aliouvaa ndio ulikufa, Kisha akaitoa Roho yake, na kuirudisha tena ndani ya MWILI na kufufuka mwili wake.

Akapaa Mbinguni, na Yu hai hata sasa.

Mtume, Kuna watu walijaribu kuacha mwili wake nje ya kaburi kuona ikiwa atafufuka, kilichotokea ni sikitiko!
 
Mwili aliouvaa ndio ulikufa, Kisha akaitoa Roho yake, na kuirudisha tena ndani ya MWILI na kufufuka mwili wake.

Akapaa Mbinguni, na Yu hai hata sasa.

Mtume, Kuna watu walijaribu kuacha mwili wake nje ya kaburi kuona ikiwa atafufuka, kilichotokea ni sikitiko!
Wewe kwa akili yako inawezekana Mungu kujifufua mwenyewe?
 
Mtume Muhammad (S.A.W) alikuwa na sifa nyingi za kipekee ambazo zimekuwa mfano wa kuigwa kwa Waislamu na wanadamu wote. Baadhi ya sifa zake kuu ni:

  1. Uadilifu na Uaminifu (Al-Amin)
    Mtume Muhammad alijulikana kwa uaminifu na uadilifu wake tangu utoto. Alipewa jina la "Al-Amin" maana yake ni "mwaminifu" kwa sababu watu walikuwa na imani naye sana katika masuala ya mali na siri zao.
  2. Huruma na Upole
    Alikuwa na huruma kubwa kwa wanadamu, wanyama, na mazingira. Aliwahurumia maskini, mayatima, na wale waliokandamizwa. Mtume Muhammad alihimiza watu kuwasaidia wengine, na upole wake ulionekana hata kwa maadui zake.
  3. Uvumilivu
    Katika nyakati za changamoto na mateso, Mtume Muhammad alionyesha uvumilivu mkubwa. Alivumilia mateso ya Maquraishi kwa miaka mingi kabla ya hijra kwenda Madina, na hakujibu mabaya kwa mabaya, bali aliwapa watu muda wa kutubu na kubadilika.
  4. Haki na Usawa
    Mtume Muhammad alikuwa mlinzi wa haki na usawa kati ya watu wa tabaka zote. Alipinga ubaguzi wa aina yoyote, iwe ni kwa rangi, rangi au hadhi ya kijamii. Alifundisha kuwa watu wote wako sawa mbele ya Mungu, na cheo kinachopimwa ni uchamungu wao.
  5. Unyenyekevu
    Licha ya kuwa kiongozi mkubwa na Mtume wa mwisho, Muhammad (S.A.W) aliishi maisha ya unyenyekevu. Alikataa anasa na maisha ya kifahari, na alikuwa mfano wa jinsi ya kuishi kwa unyenyekevu, bila ya kujali nafasi au cheo chake.
  6. Ujasiri
    Mtume Muhammad alionyesha ujasiri mkubwa katika kupigania haki na uadilifu. Aliongoza vita kadhaa bila woga kwa ajili ya kulinda dini na umma wake dhidi ya dhulma, huku akizingatia kanuni za haki hata wakati wa vita.
  7. Ukweli na Uaminifu
    Alikuwa mkweli daima, hata katika mazingira magumu au yanayotishia maisha yake. Hakuwahi kusema uwongo, na Waislamu wanamfuata katika kuwa waaminifu na kusema ukweli daima.
  8. Upendo kwa Familia na Wafuasi
    Mtume Muhammad alikuwa mume na baba mwenye upendo mkubwa. Alitenda haki na upendo kwa wake zake, watoto wake, na wafuasi wake wote. Aliwahimiza watu kuwapenda familia zao na kuwajali kwa moyo wa dhati.
  9. Uchaji Mungu na Ibada
    Mtume Muhammad alikuwa na ibada kubwa kwa Allah (S.W). Aliomba kwa bidii, alifunga sana, na alikuwa na uchaji wa kweli kwa Mwenyezi Mungu. Alikuwa mfano bora wa jinsi ya kuishi maisha ya kidini.
Sifa hizi zinamfanya Mtume Muhammad (S.A.W) kuwa mfano wa kipekee wa maadili na tabia njema kwa wanadamu wote.
Takbiir...
 
Wewe kwa akili yako inawezekana Mungu kujifufua mwenyewe?
Sifa mojawapo ya Mungu, ni muweza wa yote,

Ikiwa aliwafufua watu, Yohana akiwemo, ashindwe na nini?

Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen
 
Back
Top Bottom