Leo ni siku ya nne ya ndoa yangu

Halaf huyu kama na mjua vile; Je ni mchanee!? Nauliza tena ni mchaneee?
Kama unadhani unaweza mchana jaribu but angalia usije chanika wewe! Hamuishi kuiga
 
Majivuno au ndo ukweli..usinirudishe nyuma huko nilishavuka..mengine hayakuhusu tulia
 
Wanawake wa show room hawa, siku yanne lakn upo busy kupost jf jinga ww
 
hahahahaaaaa yani wewe hizi siku nne tu??!!!! yaani kama ni daldala kutoka mwenge kwenda posta basi hata bamaga halijafika unafurahia... hahahaaa ndoa za DOTCOM hizo subiri imalize japo mwaka mmoja kama utaweza kufika hapo ndo unaweza ukakohoa kidogo ukaskika. lkn siku nne!!!! LOH!!!!
WAKUPIMWA WEWEE...

niulize mie ninamiaka 23 sasa ndani ya ndoa nikupe yaliyomo humo... utatamani kuchomoka kama sio mwelewa. ndoa za dotcom kiukweli huwa hazidumu. muulize WASTARA ndani ya ndo siku 88 wewe siku 4 tu hahaaaa.
 
Kuna watu humu wana heshima sana lkn kuna nijitu mingine pia Ina akili kama za mbwa asiye na mfugaji kila jalala yapo..
 
Kuna watu humu wana heshima sana lkn kuna nijitu mingine pia Ina akili kama za mbwa asiye na mfugaji kila jalala yapo..
Wewe ni mape pe madunga epe nampa pole mmeo kama kweli umeolewa
 
Aiseee hizi multiple id ngoja mod tulifanyie kazii
 
Acha kuishi kwa mazoea..usinifananishe na wastara wala yeyote, mimi ni Mimi na wewe ni wewe, njia zako siyo zangu na tabia zako pia..ndoa haina uzoefu kuna watu wana miaka 40 kwenye ndoa na wameachwa nini miaka 23? By the way kama tungekuwa na ufahamu mzuri ungeelewa nilichomaanisha lakn kwakuwa umekurupuka na kufuata mkumbo umeambulia haya toka kwangu vngnevyo ninakuheshimu sana tu.
 
wala ucpaparuke na kujitapikia buree.. c umeshawekwa ndani! subiri siku ziende tu .. hazigandi tutakuskia tena hapa kama ulivojimwaya. sijui utajimwaya tena kama hivii auuu....
MOVIE INAENDELEA....
 
wala ucpaparuke na kujitapikia buree.. c umeshawekwa ndani! subiri siku ziende tu .. hazigandi tutakuskia tena hapa kama ulivojimwaya. sijui utajimwaya tena kama hivii auuu....
MOVIE INAENDELEA....
Utasubiri sana mtu mzima hovyo wewe
 
Umepe pole yanakuhusu nini?
Kama njoo uolewe wewe dume nzima Lina mambo ya kishoga lol!
Ni mape ..pe na kautahi. ra kwa mbali asubuhi yote hii badala ukae na mmeo uko kwenye simu si bure una jambo [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Moni vipi umempa cha alfajir lakin? Siunajua asubuh dushe linasimama bila ya kuguswa naona usiku na asubuh upo mtandaon sijui hata boxer zinafuliwa saa ngap Na usafi au ndio house girl
 
Kumbee, unanijua kuliko nijijuavyo mwenyewe!
AFU UKITAKA KUJUA KAMA UMEJICHORESHA .. HEBU ONA COMMENT ZOOOTE HAPA ZINAKUMWAGA TU. UMEFANYA MAKOSA KUJIVUA GAGULO LAKO HADHARANI.. ONA SASA!!! POLE SANA MWALI WA KIZALAMO WE.

wenzio huwa wanakaa kimyaaa wanaskilizia wewe unakurukpuka tu siku 4 . loh!! tena omba huyo mumeo asipite hapa akaona ulichojitapikia hapa .. nakwambia jiandae kumwagwa tena mapemaaa asavali ya WASTARA kafikisha siku 88.
 
Moniccca achana na marumbano mama hutawezana na watu wa mitandaoni fanya yako mbona bado asbh sana, Ina maana huna chakufanya mpa ukimbilie mtandaoni? Plz respect yourself that is too much
 
Utasubiri sana mtu mzima hovyo wewe
ninamashaka we wala hujaolewa ila umewekwa ndani weyee...
aliyeolewa hawezi kurupuka kihivi. na ninamashaka huenda game na huyo bwana wako haijakuendea sawia ndo mana umekurupukia humu angalao labda utapata nafuu.. UNALOOOOOOOOOOOO OOOOOOO!!!! SIKU 4!! Hahahahaaaa!!
 
Moniccca achana na marumbano mama hutawezana na watu wa mitandaoni fanya yako mbona bado asbh sana, Ina maana huna chakufanya mpa ukimbilie mtandaoni? Plz respect yourself that is too much
hahaha bora umemvuta gagulo lake maana alishaanza kuhemuka hahaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…