Leo ni siku ya nne ya ndoa yangu

mi najua ni series tu imetengenezwa sio kwamba ndoa ni kwelii au inafanyika kama ilivoandikwa.
 
Sasa test nyingine ndio uchore Conclusion
Kwani unadhani ni pombe ya kienyeji kule vijijini kwenu lazima uonje onje kwa wauzaji wengi ndipo ufanye maaamuzi
 
Hv umemtambiaje kama ni kibamia au lah
 
unaesabuuuu?????
 
Kicheche!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…