King_Jeke_Tile
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 225
- 129
Hebu nieleze kidogoKama hayakuhusu umefuata nini huku?
Karibu sana. Sasa mimi nina ombi moja la mwisho. Naomba picha ya harusi ili niamini.Usisahau kuwa zamani sio sasa..ingekuwa zamani bado ipo hata wewe usingekuwepo.
Asante nimekaribia na nimejiandaa kukabiliana na changamoto zote.
Je, jamaa alienda masaa 2 cha kwanza? kama ushauri wa brenda18 Wanaume mnaoenda chini ya dakika 30, hivi mnajielewa kweli?Nikueleza nini tena
vip umemkuta bikra?
Nimesoma hii comment yako akili imehama kwa kwelimmmh bado mapema mbona, atakurudhisha mwezi tu baada ya hapo atakuwa anakumwagia tu analala, kipya kinyemi dada
wewe nawe una wivu! mwache mwezio aseme yote hapa! inaonekana Monica ni maji mara moja! hata sasa nikitaka kugonga ni ruksa!Hv, kweli kwa ajili zangu timamu nitoe siri za mume wangu????
Iwe anaweza au hawezi, it is and will remain my secret.
Nashindwa kukupongeza hata kama umeolewa,
Mhhhh!!!!!!!!!!!!!!! Pole sana mama. Dunia imebadilika,, bayana tunaficha halafu ya siri ndo yanaanikwa.
Hahahaha! Umenichekesha sana lkn kumbuka zama za utandawazi hizi..pole pale nilipokuaibishaAdi naona aibu yaan mambo y chumban we na mwenza unayaanika hapa?????? jiandae kutalikiwa punde,,, kila stage unabwabwaja ama kwel ata mume mwenyewe akipita hapa ataanza mwendo wa new ID,,,,, ivi ndoa yako haikuwa na kitchen party?????? unatuaibisha wew,,,,, au we ni mwajiriwa w jukwaa hili ili watu wavutiwe na jukwaa kutokana na mada zako?????????
Nimekupenda bure. To be honestHv, kweli kwa ajili zangu timamu nitoe siri za mume wangu????
Iwe anaweza au hawezi, it is and will remain my secret.
Nashindwa kukupongeza hata kama umeolewa,
Mhhhh!!!!!!!!!!!!!!! Pole sana mama. Dunia imebadilika,, bayana tunaficha halafu ya siri ndo yanaanikwa.