Leo ni siku ya nne ya ndoa yangu

Leo ni siku ya nne ya ndoa yangu

Hala
Hbr zenu wanajamii wenzangu.

Nina furaha na heshima kubwa kuwaandikia machache kati ya mengi yaliyojili tangu nimefunga ndoa na Leo ikiwa ni siku ya nne.

Kwanza kbsa nachukua nafasi hii kumuomba msamaha mume wangu mpenzi..

Nilikuwa namashaka na maamuzi YAKE pale anilipo nikatalia kusex kabla ya ndoa lkn kumbe dhamira YAKE kwangu ilikuwa njema sana.

Najisikia wa thamani na mwenye bahati kupata mume mwenye msimamo wa dhati hakika amenijengea imani naye kubwa sana.

Pili nashukuru wanajamii wote kwa ushauri wenu.

Wa ndugu hofu yangu kubwa ilikuwa ni pengine jamaa angekuwa hana uwezo wa nguvu za kiume, lakni imekuwatofauti sana na mawazo yangu.
Nashukuru nimepata mume anayejua wajibu wake wa kitandani vyema sana...wandugu ninaridhishwa kwa kiwango cha juu kbsa..

Mume wangu I'm sorry kukuwazia vibaya.

Ningependa pia kuchukua wasaa huu kuwatia moyo wanaotafuta wenzi Mungu awafanikishe na msikate tamaa. Mliokuwa mnangoja mrejesho hayo ndiyo yaliyojili..dushe lanitosha kbsa sihitaji zaidi.

Karibu kama kuna mwenye lolote.
Halafu ukicheza unaweza usiolewe kabisa wewe full mcharuko Monicca
 
Hbr zenu wanajamii wenzangu.

Nina furaha na heshima kubwa kuwaandikia machache kati ya mengi yaliyojili tangu nimefunga ndoa na Leo ikiwa ni siku ya nne.

Kwanza kbsa nachukua nafasi hii kumuomba msamaha mume wangu mpenzi..

Nilikuwa namashaka na maamuzi YAKE pale anilipo nikatalia kusex kabla ya ndoa lkn kumbe dhamira YAKE kwangu ilikuwa njema sana.

Najisikia wa thamani na mwenye bahati kupata mume mwenye msimamo wa dhati hakika amenijengea imani naye kubwa sana.

Pili nashukuru wanajamii wote kwa ushauri wenu.

Wa ndugu hofu yangu kubwa ilikuwa ni pengine jamaa angekuwa hana uwezo wa nguvu za kiume, lakni imekuwatofauti sana na mawazo yangu.
Nashukuru nimepata mume anayejua wajibu wake wa kitandani vyema sana...wandugu ninaridhishwa kwa kiwango cha juu kbsa..


Mume wangu I'm sorry kukuwazia vibaya.

Ningependa pia kuchukua wasaa huu kuwatia moyo wanaotafuta wenzi Mungu awafanikishe na msikate tamaa. Mliokuwa mnangoja mrejesho hayo ndiyo yaliyojili..dushe lanitosha kbsa sihitaji zaidi.

Karibu kama kuna mwenye lolote.
Duuhh jamaa anagonga bao ngapi kwa siku? Au anabadilishia gia humo kwa humo?
 
Monii hongera mama...

Una kazi ya kulea ndoa sasa. Mungu akujalie furaha, utii,hekima na uvumilivu kwa ndoa yako
 
Ni mekusamehe mke wangu. Pia nakushukuru kwa kunikubali kwa shuguli. Hata hivyo napenda kukufahamisha kwamba wakati nikiwa nakusubiria wewe hadi ndoa, nilikuwa napraktizi kwa wadada wengine wawili ambao wewe huwajui (na si vizuri kuwajua) ndio maana umeona pafomansi yangu iko juu. si ushawahi kusikia ka msemo kakizungu ka "praktisi meks pafecti?". Ila naamini nawe utanisamehe kama nilivyokusamehe.
 
Mswahili utamjua tu , mbona shughuli hili nalo la kuleta humu nahisi kitchen hukupewa pole sana
 
Mh...yaani we kila step ya ndoa yako unatueleza huku na mpaka kuridhishwa naye? Kwani unafikir wenzio hawaridhishwi ila wamekaa kimya?

Haya hebu tuambie toka mfunge ndoa umekuwa ukimpikia nini kuanzia asbh mpaka usiku?...huwa anavaa boxer za namna ipi?
 
Hongera moniccca kumpata 'charsmatic Hubby' ila ni mapema mno kutoa tathmini ya ugumla wakati ndoa ni life time commitment!
 
siku nne tu tayari unatoa tathmini ya ndoa. are you serious? unayajua maisha ya ndoa kweli au unaigiza?
 
Mswahili utamjua tu , mbona shughuli hili nalo la kuleta humu nahisi kitchen hukupewa pole sana
Kitchen nilipewa ya kutosha, siku ya harusi yako we niite ntakupa kitcheni ya kukutosha.
 
duuuuh!! ndoa za siku hizi mweeeeeh!!!
kwahiyo updates zote za ndoa yako utakuwa unaziweka jf? haya kilalakheri mama.
Ndiyo ntaziweka hata ulitaka nitakutumia PM kbsa usipate shida
 
siku nne tu tayari unatoa tathmini ya ndoa. are you serious? unayajua maisha ya ndoa kweli au unaigiza?
Nayajuaje wakati ndiyo kwanza nayaanza..nipe muda ntayajua tu.
 
Ni mekusamehe mke wangu. Pia nakushukuru kwa kunikubali kwa shuguli. Hata hivyo napenda kukufahamisha kwamba wakati nikiwa nakusubiria wewe hadi ndoa, nilikuwa napraktizi kwa wadada wengine wawili ambao wewe huwajui (na si vizuri kuwajua) ndio maana umeona pafomansi yangu iko juu. si ushawahi kusikia ka msemo kakizungu ka "praktisi meks pafecti?". Ila naamini nawe utanisamehe kama nilivyokusamehe.
Mkeo umemuacha nyumbani huku umebugi men
 
Back
Top Bottom