Leo ni Siku ya Pili yule ' Mbabe ' wa ' Twitani ' aliyejizolea ' Umaarufu ' ghafla hajaonekana je, Kulikoni tena?

Siyo kawaida kigogo apitishe lisaa limoja kabla ya kupost kitu katika mtandao wa wa twitter.

Wiki mbili zilizopita Kigogo alitupiwa ujumbe twitter kuwa tayari IP yake ishajulikana na yuko ndani ya 18

Leo tunakwenda siku ya pili bila post ya huyo jamaa, Je keshadakwa?, Maana hii siyo kawaida kwa huyo jamaa kukaa bila kupost kitu siku nzima!

The other thing, baada ya shake up ndani ya TISS siku hizi jamaa hana tena zile taarifa motomoto za jikoni. Siku hizi naye anafanya kazi ya kuretweet tu maoni ya wenzie.
Je inawezekana kwamba bosi mpya wa TISS kafanikiwa kuziba leakage ya taarifa?

Ngoja tuone!
 
Hahahaaaa........ Serikali ina macho matatu na mkono mrefu sana bwashee!
 
Ingekuwa imeshavuma kwamba amekamatwa. KKM Mzee wa Matahi angekuwa ashatumwa kuulezea umma umahiri uliotumika kumuweka mikono salama mtu msumbufu.
 
Wewe mbona hujadakwa
 
Bado mnyaru wewe zako ziko jikoni , wataleta Uzi hapa kukuuliza uliopo jf sio mbinguni

Nilimwambia kigogo hivyo alipopost picha zangu
Nimemtafuta tokea Jana hadi hivi leo sijamuona je, kuna mwana ' Twitani ' Mwenzangu labda amebahatika Kumuona ama akitoa Taarifa zake Nyeti au hata akichangia tu Kimikogo kama kawaida yake?

Nawasilisha.
 
Kigogo aliwekwa makusudi awatiishe na kuwapigisha magoti akina Nape & co. Tangu Nape & co waombe radhi Kigogo akaanza kujiweka pembeni kwenye tweeter. Mission accomplished.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…