Leo ni Siku ya Pili yule ' Mbabe ' wa ' Twitani ' aliyejizolea ' Umaarufu ' ghafla hajaonekana je, Kulikoni tena?

Leo ni Siku ya Pili yule ' Mbabe ' wa ' Twitani ' aliyejizolea ' Umaarufu ' ghafla hajaonekana je, Kulikoni tena?

Kigogo hicho kitakuwa kimeshakaushwa tayari kikatumika kupikia maharage
 
Kigongo2014.
WALIO KUWA WANA MNULIA BANDO WAME FULIA,
siku hizi ana miliki kisimu cha tochi.........!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Toka ile akaunti ilivyohusishwa na Mh. Zitto siku hizi haina mvuto japo bado anaendelea kupost.
Nilijiunga Twitter baada ya kuvutiwa na kigogo2014
 
keshaangukia PUA manake kuna MASNICH "wabobevu wa CODE vs DECODE" zaidi yake

"MDOMO mkubwa/mpana/mwekundu na PUA kubwaa" inaweza ikawa vishapunguzwa nao mdomo mdogo n pua ndogo
 
wa
Kuna mdau alinambia Kigogo ni mtandao sio mtu mmoja tusubiri na tune Ila wazee wakujimwambafy hawashindwi kitu. kwangu twitter itapoteza mvuto kidogo mama mila muds ilikufa kuchungulia kuna habari gain.
wamesaau password a kulogin twitter
 
Alitegwa akategeka: tangu aliponyweshwa mkojo wa. BOT na uteuzi wa Afisa tarafa ndipo alipojipeleka kwa wenyewe; amepumzishwa anapostahili
big fat liar..kama walimjua na wakamtega kwa hivyo ulivyovisema,kwa nini wasimkamate bila mtego?
 
keshaangukia PUA manake kuna MASNICH "wabobevu wa CODE vs DECODE" zaidi yake

"MDOMO mkubwa/mpana/mwekundu na PUA kubwaa" inaweza ikawa vishapunguzwa nao mdomo mdogo n pua ndogo
Angalia post #6
 
Naanza Kuingiwa na wasiwasi Mkuu kwani si kawaida kabisa. Na tatizo la Watu wa IT ni kwamba unaweza Wewe ukajifaragua ( ukajimwambafai ) kuwa umeiva na hakuna atakayekuweza huko lakini ukakuta kuna Watu wengine nao tena labda ni ' Majiniasi ' kuliko Wewe nao wamepelekwa Kusoma sehemu nyingine zenye Mabingwa wa IT kuliko Wewe na ambao huenda hata Teknolojia yako iko juu kuliko kule ulikosomea Wewe kisha wakija Kutumika katika ' Kukusaka ' humu Mitandaoni basi Kazi yao inakuwa ni nyepesi ( kama si rahisi ) kisha unaishia Kukamatwa kama vile walivyokamatwa ' Kizembe ' Watu wawili tuliokuwa tukiwasifia kuwa ni ' Mabandidu / Wababe ' kabisa akina Saddam Hussein na Muamar Ghadaffi ambao kwa ile aina ya ' Mikwara ' yao hakuna aliyedhania kuwa wangekuja Kushindwa na Kuishia huko walikoishia na sasa wamebaki kuwa ni Historia tu hapa Ulimwenguni.
Uhuru wa habari ni muhimu kikubwa ni namna yakufikisha ujumbe na hoja zako , na lazima tusome alama za nyakati kuna watu hawaumizwi na kelel kuna watu wameumbwa wako weak sana hawawezi kustahimili hoja sasa hao ndo wabaya kwa usawi wa utu.. kitu kidogo umepotea au umenyamazishwa
 
itakuwa amefungiwa..

"yupo pekee yake na chatu;kama wa Ben SAA 8" kama anavyosemaga yule TumainiEl wa JF
 
Acha wenge na wewe hyo siyo account ya kigogo
 
Twitter haiko salama na iko waz Sana kicode njia salama ya kuwa salama nikuachana na mambo yao tu hapo utakuwa salama kabisa Tena bila shida yeyote ile.

Na weng wetu tunapenda kuingilia mambo yaliotuzid kiakil na uwezo kisa uhuru na haki ya kuongea

Ukijua nyuma yako Kuna wangapi wanakutegemea hutofanya hvyo hata kidogo

Tatizo watu wanashindana na kina fatuma karume ule Ni ukoo unaolindwa tu hautofanyiwa madhara wew je kapuku
 
Twitter haiko salama na iko waz Sana kicode njia salama ya kuwa salama nikuachana na mambo yao tu hapo utakuwa salama kabisa Tena bila shida yeyote ile.

Na weng wetu tunapenda kuingilia mambo yaliotuzid kiakil na uwezo kisa uhuru na haki ya kuongea

Ukijua nyuma yako Kuna wangapi wanakutegemea hutofanya hvyo hata kidogo

Tatizo watu wanashindana na kina fatuma karume ule Ni ukoo unaolindwa tu hautofanyiwa madhara wew je kapuku
Usiogope sana kina Kigogo ndiyo hao hao wako kwa system wanaamua kutuchezesha mitandaoni muda wowote wakitaka!!
 
Naanza Kuingiwa na wasiwasi Mkuu kwani si kawaida kabisa. Na tatizo la Watu wa IT ni kwamba unaweza Wewe ukajifaragua ( ukajimwambafai ) kuwa umeiva na hakuna atakayekuweza huko lakini ukakuta kuna Watu wengine nao tena labda ni ' Majiniasi ' kuliko Wewe nao wamepelekwa Kusoma sehemu nyingine zenye Mabingwa wa IT kuliko Wewe na ambao huenda hata Teknolojia yako iko juu kuliko kule ulikosomea Wewe kisha wakija Kutumika katika ' Kukusaka ' humu Mitandaoni basi Kazi yao inakuwa ni nyepesi ( kama si rahisi ) kisha unaishia Kukamatwa kama vile walivyokamatwa ' Kizembe ' Watu wawili tuliokuwa tukiwasifia kuwa ni ' Mabandidu / Wababe ' kabisa akina Saddam Hussein na Muamar Ghadaffi ambao kwa ile aina ya ' Mikwara ' yao hakuna aliyedhania kuwa wangekuja Kushindwa na Kuishia huko walikoishia na sasa wamebaki kuwa ni Historia tu hapa Ulimwenguni.
Ulimwengu wa Technology ni mpana sana na uwezi kuwa fit kila angle Ndy maana nawashangaa baadhi ya Member wa JF wanatuc viongozi kwa kujiona wako mafichoni na Fake ID wanazotumia na wakitunisha vifua na Vpn zilizo tengenezwa na mascript kiddle
 
Ulimwengu wa Technology ni mpana sana na uwezi kuwa fit kila angle Ndy maana nawashangaa Member weng wa JF wanatuc viongozi kwa kujiona wako mafichoni na Fake ID wanazotumia na wakitunisha vifua na Vpn zilizo tengenezwa na mascript kiddle

Na ndiyo maana wengine tuko makini kweli kweli Mkuu.
 
Alitegwa akategeka: tangu aliponyweshwa mkojo wa. BOT na uteuzi wa Afisa tarafa ndipo alipojipeleka kwa wenyewe; amepumzishwa anapostahili
Nani amemuelewa gentamycin a nachomekea treats mzee baba acha hizo tutaendelea kukosoa pale panapostahili na tutapongeza tukiona kuna chakupongeza.... your enjoying watu kupotezwa au kunyamazishwa kuna threat zako mbili imebidi nikaziangalie tena
 
Back
Top Bottom