Mkuu ogopa sana ' ukisakwa ' na Watu ambao wanakuzidi kidogo ' Akili ' kwani utajitahidi tu ' Kuwakwepa ' kwa muda ila iwe isiwe ni lazima tu kuna mahala ' watakudaka ' na baada ya hapo kabla hawajakufanya lolote lile Kwanza wataanza Kukutaka uwape Taarifa zao muhimu za Watu wako wengine, nani anakutumia, Habari zako alikuwa anakupa nani, ukaguzi wa kina kuanzia Kwako hadi unakojipatia Mkate wako wa kila Siku na wakishajiridhisha nawe pasi na Shaka ndipo sasa wanaweza kuamua Jina lako libadilike rasmi na uwe Historia hapa duniani.
Naendelea Kusisitiza kuwa tujaribu kuwa makini sana humu Mitandaoni na tusije tukajisahau sana ili tusije tukajuta baadae.