Leo ni siku ya Redio Duniani, Kituo gani cha Redio unasikiliza zaidi?

Leo ni siku ya Redio Duniani, Kituo gani cha Redio unasikiliza zaidi?

Hivi ni nini kilichangia kuvuruga tasnia ya utangazi? Mpaka redio kwa sasa hazisikilizwi sana, tutasema maendeleo ya teknolojia lakini hapana mbona huko nje pia takwimu zinasema wanasikiliza sana redio?

Ukikumbuka enzi zile Kiss Fm, Radio Free, Clouds, Eatv n.k zilikuwa moto sana na vipaji vikubwa sana vilipatikana wakati ule, sasa hivi unasikiliza interview yaani mtangazaji hana kabisa uelewa wa kuuliza maswali na kuchambua mambo achilia mbali kutangaza, you know nyingi na ujuaji kibao, inafurahisha sana.

Nina muda sana sijasikiliza redio kiukweli
 
Radio Maria Tanzania,Sauti ya Kikristo nyumbani Mwako.Amina
 
Siku ya #Redio Duniani ilianzishwa na Kikao cha Umoja wa Mataifa mwaka 2012 kwa kuhusisha Mkutano wa Kwanza wa Kimataifa wa Redio uliorushwa moja kwa moja kutoka Geneva mwaka 1974.

Siku hii huadhimishwa kila mwaka kwa lengo la kutambua mchango muhimu unaotokana na Redio katika maisha na jamii. Februari 13 ilichaguliwa kuwa Siku ya Redio baada ya kuanzishwa kwa Redio ya Umoja wa Mataifa mwaka 1946.

Kituo gani cha Redio unasikiliza mara kwa mara?

===================

World Radio Day is celebrated every year on February 13 to mark the important role that radio plays in our lives and in society. The day was established by the United Nations General Assembly in 2012, and its history can be traced back to the first International Radio Conference in Geneva in 1974. February 13 was chosen as World Radio Day as it was the day of the establishment of the United Nations Radio in 1946.

History

The radio was invented in 1895 by Italian physicist and inventor Guglielmo Marconi. He is credited with being the first to develop a practical and successful system of wireless communication, which laid the foundation for the widespread use of radio technology.

The radio quickly became one of the most important forms of communication of the 20th century, revolutionising the way people received and shared information. Radio broadcasting became a vital source of news, entertainment, and educational content, connecting communities and promoting understanding across borders. The radio continues to play a significant role in our lives today, serving as a source of information and entertainment while helping connect people around the world.

Significance
The significance of the World Radio Day lies in the unique power of radio as a medium of communication. Radio is a fast, accessible, and cost-effective way to reach large audiences, making it an ideal tool for sharing information, promoting awareness, and connecting communities. Radio also has the ability to reach remote and marginalized communities, making it an important tool for promoting inclusion and equality.

Theme
The theme for World Radio Day changes each year and is designed to focus attention on specific aspects of the role of radio in society. In 2023, the theme for the World Radio Day is “Radio and Peace” which aims to focus on the importance of independent radio to foster peace and prevent conflict.

In 2021, the theme was "New World, New Radio" which focused on the role of radio in adapting to and shaping the changes brought about by the COVID-19 pandemic.

UNITED NATIONS/ CNBCTV

RFA the sound of Afrika hasa dw,voa na bbc swahili.
Pia Sibuku fm kusikiliza vipindi vya Dr mtume na nabii mwamposa the bulldoza,sema ayayaa
 
Mimi mara nyingi nasikiliza vipindi tu katika redio tofauti.

EA Radio - SPorts Extra/Plannet/Mama Mia/Morning Break Fast Often/Jumapili saa 10 mpaka 12 Old School.

RFA - Asubuhi(6:00 -07:30) ,Usiku kuanzia saa mbili na pia Hakuna Kulala /SIntosahau /Ushauri wako/Je wajua/Je huu Uungwana/BBC/DW

Radio One - Hoja ya Leo / Mambo Mseto / Rafiki

EFM - Kunyambua na Kunyambulisha /SPorts HQ

CLouds - Njia Panda /Sports Bar
 
Nasikiliza Ufm kipindi cha U-live, kipindi pekee cha michezo ambacho mtangazaji hatokutajia kumbukumbu namba Wala hutomsimkia akikushauri utume buku, upate milioni
 
Siku ya #Redio Duniani ilianzishwa na Kikao cha Umoja wa Mataifa mwaka 2012 kwa kuhusisha Mkutano wa Kwanza wa Kimataifa wa Redio uliorushwa moja kwa moja kutoka Geneva mwaka 1974.

Siku hii huadhimishwa kila mwaka kwa lengo la kutambua mchango muhimu unaotokana na Redio katika maisha na jamii. Februari 13 ilichaguliwa kuwa Siku ya Redio baada ya kuanzishwa kwa Redio ya Umoja wa Mataifa mwaka 1946.

Kituo gani cha Redio unasikiliza mara kwa mara?

===================

World Radio Day is celebrated every year on February 13 to mark the important role that radio plays in our lives and in society. The day was established by the United Nations General Assembly in 2012, and its history can be traced back to the first International Radio Conference in Geneva in 1974. February 13 was chosen as World Radio Day as it was the day of the establishment of the United Nations Radio in 1946.

History

The radio was invented in 1895 by Italian physicist and inventor Guglielmo Marconi. He is credited with being the first to develop a practical and successful system of wireless communication, which laid the foundation for the widespread use of radio technology.

The radio quickly became one of the most important forms of communication of the 20th century, revolutionising the way people received and shared information. Radio broadcasting became a vital source of news, entertainment, and educational content, connecting communities and promoting understanding across borders. The radio continues to play a significant role in our lives today, serving as a source of information and entertainment while helping connect people around the world.

Significance
The significance of the World Radio Day lies in the unique power of radio as a medium of communication. Radio is a fast, accessible, and cost-effective way to reach large audiences, making it an ideal tool for sharing information, promoting awareness, and connecting communities. Radio also has the ability to reach remote and marginalized communities, making it an important tool for promoting inclusion and equality.

Theme
The theme for World Radio Day changes each year and is designed to focus attention on specific aspects of the role of radio in society. In 2023, the theme for the World Radio Day is “Radio and Peace” which aims to focus on the importance of independent radio to foster peace and prevent conflict.

In 2021, the theme was "New World, New Radio" which focused on the role of radio in adapting to and shaping the changes brought about by the COVID-19 pandemic.

UNITED NATIONS/ CNBCTV
Hiki ambacho Dijaro Arungu anatangaza, nipo nakula ngoma za best naso tu hapa
 
Back
Top Bottom