XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,345
- 7,076
- Thread starter
- #41
Nadhani umeongelea kuanza kutambuliwa kama mtu mzima kikatiba ni kuanzia miaka 18 lakini teenage years huishia miaka 19 ..Kimsingi
Kiuhalisia, u-teenager unatakiwa kukoma at 17.
Ukiwa 18 umeshakuwa mtu mzima ndo maana unaweza kupiga kura, nk.
Ktk nchi za Ulaya, kwa mfano, at 18 unatakiwa kuanza kujitegemea na kuhama nyumbani kwenu...