Nadhani umeongelea kuanza kutambuliwa kama mtu mzima kikatiba ni kuanzia miaka 18 lakini teenage years huishia miaka 19 ..Kimsingi
Kiuhalisia, u-teenager unatakiwa kukoma at 17.
Ukiwa 18 umeshakuwa mtu mzima ndo maana unaweza kupiga kura, nk.
Ktk nchi za Ulaya, kwa mfano, at 18 unatakiwa kuanza kujitegemea na kuhama nyumbani kwenu...
Asante, katiba pembeni: Nimetumia neno 'uhalisia.Nadhani umeongelea kuanza kutambuliwa kama mtu mzima kikatiba ni kuanzia miaka 18 lakini teenage years huishia miaka 19 ..
Hahahah lakini faida yake utaiona miaka ya mbeleni huko ..Kinachokukuta ww ndio na mimi pia ila me hafadhali urefu unanibeba kidogo.
28+ ndevu nazo zimegoma.[emoji23][emoji23]
Jana nimeenda sehemu nikapumzike naambiwa hapa vijana wadogo hamruhusiwi. Daah nilichoka.
Kwa kweli nakosa amani mkuu. Hakuna jinsi ya kufanya angalau basi ndevu ziote.Hahahah lakini faida yake utaiona miaka ya mbeleni huko ..
Kina nani hao wamevurugwa mkuujf kuna watu wamevurugwa
Kwel tena faida zake kwenye kupata madem, Mimi nina miaka Zaid ya 33 lakin nikitongoza demu wa 20 nakubaliwa wananiona saizi Yao.Mimi ndevu zinanisaidia sana, nikinyoa ndevu nakua kama kajamaa ka miaka 18 kumbe ni jitu lenye 25+. Kuonekana mdogo kuna faida zake pia mkuu, usijilaumu sana.
yani mimi nina 12 yrs humu unakuta nabishana na mtu kama huyu.Hivi kumbe jf kuna vichalii vidogo vidogo kam wewe?
Na niwabishi kinoma mzeeyani mimi nina 12 yrs humu unakuta nabishana na mtu kama huyu.
ila hongera sana kwa kumbukizi hii.!