aliyetegwa
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 313
- 486
Wana jukwaa, baada ya kukua nimejifunza:
Mama ni mtu aliyekaa na uhai ndani yake, akauleta duniani na kuutetea
Mama ni mtu aliyetoa uhai wake, damu, akili na jasho kwaajili ya mtoto ama watoto wake.
Nikiangalia kichanga changu ambacho hakina uwezo wa kujihudumia kwa namna yeyote namheshimu na mapenzi juu ya mama yangu yanaendelea kujengeka zaidi
Hakuna zawadi yeyote wala chochote mtoto anachoweza kumlipa mamaye kwa yale aliyotendewa ama anayotendewa maana mama hufanya yote hayo akitegemea kutokulipwa chochote na hufanya kwa furaha akijua ni majukumu yake.
Naomba tuungane kusherekea zawadi ya maisha ya mama yetu maana kwa maisha yake nasi tumeishi pia
Mama ni mtu aliyekaa na uhai ndani yake, akauleta duniani na kuutetea
Mama ni mtu aliyetoa uhai wake, damu, akili na jasho kwaajili ya mtoto ama watoto wake.
Nikiangalia kichanga changu ambacho hakina uwezo wa kujihudumia kwa namna yeyote namheshimu na mapenzi juu ya mama yangu yanaendelea kujengeka zaidi
Hakuna zawadi yeyote wala chochote mtoto anachoweza kumlipa mamaye kwa yale aliyotendewa ama anayotendewa maana mama hufanya yote hayo akitegemea kutokulipwa chochote na hufanya kwa furaha akijua ni majukumu yake.
Naomba tuungane kusherekea zawadi ya maisha ya mama yetu maana kwa maisha yake nasi tumeishi pia