Leo nilikuwa nipeleke barua ya posa ila nilivyofika chuo cha Ushirika Moshi nimeingia mitini

Leo nilikuwa nipeleke barua ya posa ila nilivyofika chuo cha Ushirika Moshi nimeingia mitini

Waziri wa Kaskazini

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2015
Posts
7,981
Reaction score
17,743
Aisee! Asikuambie mtu Moshi kuna warembo..

-Leo nilikuwa Moshi kwa tukio la kihistoria la kupeleka barua na kujitambulisha kwa wazee wa binti, ila wakati nikitembea mitaani nikitazama mandhari ya jiji la Moshi nikajikuta nimetokea maeneo ya Chuo cha Ushirika Moshi, salalee kuna watoto wakali balaa na kilichonipeleka huko nikaghairi, naona kuna pisi zina viwango kiasi kwamba yule naeenda kujitambulisha kwao nighairi kwanza..
 
Back
Top Bottom