Alikuwa anaripoti kuwa tusiwahi kuoa, tembea uone 🙏🙏kwa hiyo tukushauri kitu gan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa anaripoti kuwa tusiwahi kuoa, tembea uone 🙏🙏kwa hiyo tukushauri kitu gan
Ah ni mzuka basi haina kwereNyie jamaa mnalipiziana hadi maswali aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mi niko Rau mkuu.
Anastaajabisha kwakweli... Sidhani Kama alikua na nia ya dhati ya Jambo analoliendea....imagine mtu anapeleka barua ya posa alafu anaghaili kisa kaona vitoto vya chuo, huyu mkuu anasikitisha sana
Mkuuu...Ameenda Moshi TU hajafika hata Kenya... Sijui siku akienda Nairobi University itakuwaje...Alikuwa anaripoti kua tucwahi kuoa,tembea uone [emoji120][emoji120]
Pamoko jombaa.Ah ni mzuka basi haina kwere
Chief naona like zako kwenye comments karibu zote! Una furaha sana leo?Ungenitafuta mkuu maana mie pia niko chuoni humu 😂😂😂
Anastaajabisha kwakweli...Sidhani Kama alikua na Nia ya dhati ya Jambo analoliendea....
Yaaani anafanya Jambo la kheri ..masikini akaona Bora achakate Papuchi za wazuri Hadi awamalize wote...
ATAFIKIA lengo TU..tumtakie kheri
Hua siamini kuwa Kenya kuna pisi kali kuliko Tz coz ni wafupi. Pili black sana, mtizamo tu msinifokeeMkuuu...Ameenda Moshi TU hajafika hata Kenya ...Sijui siku akienda Nairobi University itakuwaje...
Je watakuwa na mapenzi ya dhati, je watakuwa waaminifu?... Labda Kama kaweka swala la kuoa pembeni na kaamua kujikita kutafuna wanaushirika Hadi wazuri wote waishe.
Mi always niko happy mkuuChief naona like zako kwenye comments karibu zote! Una furaha sana leo?
Duuh..natumai alitoka huko Polisi salama[emoji23]mbaya zaidi anaweza akaishia kubaya, miaka 6 iliyopita kuna jamaa yangu mambo ya ujana haya tulikua club akadanganyana na wenzie wakachua mademu watatu wakawabake
kufika uchochoroni huko anadai wenzie wakawabaka wale mademu kwa zamu bila kinga ila yeye hakuwagusa,baada ya siku mbili jamaa alistukia ghetto kwake wamefika polisi wakambeba na wenzie nao walikamatwa wote ila cha kusikitisha wale wadada kumbe walikuwa wanajiuza na ni HIV positive
Duuh..natumai alitoka huko Polisi salama
Mkataa PEMA...pabaya panamuita.
Pisi za Moshi zile zenye sura nzuri maziwa makubwa na miguu myembamba kama kuni !
Sasa naona mnaanza kuleta utani wa ngumi........Masimtank Wakinyaki wanasoma uzi wamekunja sura
Barua ya posa inapelekwa na mshengaAisee! Asikuambie mtu Moshi kuna warembo..
-Leo nilikuwa Moshi kwa tukio la kihistoria la kupeleka barua na kujitambulisha kwa wazee wa binti, ila wakati nikitembea mitaani nikitazama manthari ya jiji la Moshi nikajikuta nimetokea maeneo ya chuo cha Ushirika Moshi salalee kuna watoto wakali balaa na kilicho nipeleka huko nikaghairi, naona kuna pisi zina viwango kiasi kwamba yule nae enda kujitambulisha kwao nighairi kwanza..
Anyway sikua naamaisha kuwa Aende huko nilimaanisha Akimaliza Ushirika akapata mchumba...akaenda kondoa Napo atagairi...na akiona mzungu atasema Sijawai chakata wenye macho ya kijani naoa kwanini?Hua camin kua kenya kuna pic kar kuriko Tz coz niwafupi pili black sana.mtizamo tu msinifokee
Pisi za Moshi zile zenye sura nzuri maziwa makubwa na miguu myembamba kama kuni !
Atakuwa anajiamini Ana convincing power...Sio Domo zege Kama BehaviouristNi lazima kwanza wamkubali, kuwaona wazuri siyo ishu kila mtu anaona, lkn kukubaliwa ni swala lingine, ...
Hatari sana bro,itabidi siku yake nije kukutembelea huko mkuuNileje kwa macho sasa wakati niko kwenye shamba la miwa.😂
Mbona unauchungu sana mkuu😆😆 na mbona unachoandika hakihusiani na mada kwan jamaa kaenda club au ananunua malaya!! Acha kuchulia maisha serious kias hicho😆😆😆[emoji23]mbaya zaidi anaweza akaishia kubaya, miaka 6 iliyopita kuna jamaa yangu mambo ya ujana haya tulikua club akadanganyana na wenzie wakachua mademu watatu wakawabake
kufika uchochoroni huko anadai wenzie wakawabaka wale mademu kwa zamu bila kinga ila yeye hakuwagusa,baada ya siku mbili jamaa alistukia ghetto kwake wamefika polisi wakambeba na wenzie nao walikamatwa wote ila cha kusikitisha wale wadada kumbe walikuwa wanajiuza na ni HIV positive