Leo nilikuwa nipeleke barua ya posa ila nilivyofika chuo cha Ushirika Moshi nimeingia mitini

Leo nilikuwa nipeleke barua ya posa ila nilivyofika chuo cha Ushirika Moshi nimeingia mitini

imagine mtu anapeleka barua ya posa alafu anaghaili kisa kaona vitoto vya chuo, huyu mkuu anasikitisha sana
Anastaajabisha kwakweli... Sidhani Kama alikua na nia ya dhati ya Jambo analoliendea....
Yaaani anafanya Jambo la kheri ..masikini akaona Bora achakate Papuchi za wazuri Hadi awamalize wote...

ATAFIKIA lengo TU..tumtakie kheri
 
Anastaajabisha kwakweli...Sidhani Kama alikua na Nia ya dhati ya Jambo analoliendea....
Yaaani anafanya Jambo la kheri ..masikini akaona Bora achakate Papuchi za wazuri Hadi awamalize wote...

ATAFIKIA lengo TU..tumtakie kheri

[emoji23]mbaya zaidi anaweza akaishia kubaya, miaka 6 iliyopita kuna jamaa yangu mambo ya ujana haya tulikua club akadanganyana na wenzie wakachua mademu watatu wakawabake
kufika uchochoroni huko anadai wenzie wakawabaka wale mademu kwa zamu bila kinga ila yeye hakuwagusa,baada ya siku mbili jamaa alistukia ghetto kwake wamefika polisi wakambeba na wenzie nao walikamatwa wote ila cha kusikitisha wale wadada kumbe walikuwa wanajiuza na ni HIV positive
 
Je watakuwa na mapenzi ya dhati, je watakuwa waaminifu?... Labda Kama kaweka swala la kuoa pembeni na kaamua kujikita kutafuna wanaushirika Hadi wazuri wote waishe.

Ni lazima kwanza wamkubali, kuwaona wazuri siyo ishu kila mtu anaona, lakini kukubaliwa ni swala lingine...
 
[emoji23]mbaya zaidi anaweza akaishia kubaya, miaka 6 iliyopita kuna jamaa yangu mambo ya ujana haya tulikua club akadanganyana na wenzie wakachua mademu watatu wakawabake
kufika uchochoroni huko anadai wenzie wakawabaka wale mademu kwa zamu bila kinga ila yeye hakuwagusa,baada ya siku mbili jamaa alistukia ghetto kwake wamefika polisi wakambeba na wenzie nao walikamatwa wote ila cha kusikitisha wale wadada kumbe walikuwa wanajiuza na ni HIV positive
Duuh..natumai alitoka huko Polisi salama

Mkataa PEMA...pabaya panamuita.
 
Duuh..natumai alitoka huko Polisi salama

Mkataa PEMA...pabaya panamuita.

Alitoka salama ila ilibidi wahonge sana maana wale dada poa walikula deal na polisi hivo polisi walipata mgao mara mbili, jamaa alikaa kama siku 5 ndani
 
Aisee! Asikuambie mtu Moshi kuna warembo..

-Leo nilikuwa Moshi kwa tukio la kihistoria la kupeleka barua na kujitambulisha kwa wazee wa binti, ila wakati nikitembea mitaani nikitazama manthari ya jiji la Moshi nikajikuta nimetokea maeneo ya chuo cha Ushirika Moshi salalee kuna watoto wakali balaa na kilicho nipeleka huko nikaghairi, naona kuna pisi zina viwango kiasi kwamba yule nae enda kujitambulisha kwao nighairi kwanza..
Barua ya posa inapelekwa na mshenga
Kwa hyo wewe NI mshenga umetumwa kwa Nini unaghairi?
 
Hua camin kua kenya kuna pic kar kuriko Tz coz niwafupi pili black sana.mtizamo tu msinifokee
Anyway sikua naamaisha kuwa Aende huko nilimaanisha Akimaliza Ushirika akapata mchumba...akaenda kondoa Napo atagairi...na akiona mzungu atasema Sijawai chakata wenye macho ya kijani naoa kwanini?

Sasa lengo lake ni lipi? Kuchakata papuchi za pisi kali zote?....
Analolitafuta atalipata, you will reap what you sow.
 
[emoji23]mbaya zaidi anaweza akaishia kubaya, miaka 6 iliyopita kuna jamaa yangu mambo ya ujana haya tulikua club akadanganyana na wenzie wakachua mademu watatu wakawabake
kufika uchochoroni huko anadai wenzie wakawabaka wale mademu kwa zamu bila kinga ila yeye hakuwagusa,baada ya siku mbili jamaa alistukia ghetto kwake wamefika polisi wakambeba na wenzie nao walikamatwa wote ila cha kusikitisha wale wadada kumbe walikuwa wanajiuza na ni HIV positive
Mbona unauchungu sana mkuu😆😆 na mbona unachoandika hakihusiani na mada kwan jamaa kaenda club au ananunua malaya!! Acha kuchulia maisha serious kias hicho😆😆😆
 
Back
Top Bottom