Huyu mwamba amestustaajabisha kwakweli....ANAACHA MBACHAO KWA MSALA UPITAO[emoji3][emoji3][emoji3]..Aisee nimeshangaa daaaah sio vizuri lakin, mwanamke akijua this side of the story atakuwa depressed sana aisee na DEPRESSION IS REAL...
πππMi nipo Rwanda mkuu, pisi za huku uwezi kufananisha na ivyo vinyago vya Moshi MAZIWA makubwa MIGUU meyembamba wanaenda mbele kama wanarudi nyuma
Kwa kifupi PISI za Moshi ni SHAPELESS
Kwaiyo uwezi kuziweka kwenye kundi la PISI KALI
OoohAlikuwa anaripoti kua tucwahi kuoa,tembea uone ππ
πππCha kumsihi asisahau "Ndomu" tu
Mkuu tokea nipime ngwengwe na nikajikuta nipo salama, imepita miezi minne sasa sijahangaika na mwanamke yeyote. Nataka nioe nitulie na mmoja.Hongera mkuuu... nadhani ukifikisha 1000 Kuna kombe lako na. Kitita Cha kutosha..usichoke kazana
1) Wanyaturu= SingidaNitajie hiyo Mikoa mkuu ? au we pisi kali mpaka awe na tako kama la sanchi ? manake mosh kama unataka matako kama watu wa mbeya haiwezekan, na miguu ya bia kule hakuna, kule kuna rangi na shepu kidogo
UsUngenitafuta mkuu maana mie pia niko chuoni humu πππ
Usiku wanajipanga pub Alberto na malindiCha kumsihi asisahau "Ndomu" tu
Kuhusu Iringa naomba niache Al-Jazeera mkuu πππ nashuka!1) Wanyaturu= Singida
2) Wanyamwezi= Tabora
3) wapemba= Pemba
4) Wahaya= Bukoba
5 Wahehe= Iringa
6 Wazigua=Tanga
7 Wambulu= Manyara na Arusha
8 Wasukuma= Mwanza
9 Wazaramu = Dar es-Salaam
Ukitaka kuona PISI KALI nenda hiyo mikoa
Hizi hizi pisi za kichaga mnazo zikejeli kwamba hazina msambwanda?Aisee! Asikuambie mtu Moshi kuna warembo..
-Leo nilikuwa Moshi kwa tukio la kihistoria la kupeleka barua na kujitambulisha kwa wazee wa binti, ila wakati nikitembea mitaani nikitazama mandhari ya jiji la Moshi nikajikuta nimetokea maeneo ya Chuo cha Ushirika Moshi salalee kuna watoto wakali balaa na kilicho nipeleka huko nikaghairi, naona kuna pisi zina viwango kiasi kwamba yule nae enda kujitambulisha kwao nighairi kwanza..
Hahaha hawa jamaa hawapo serious, watu wamechanganya damu sana sikuhizi Pisi za kichaga zenye mizigo na miguu ya bia zipo pia. Kuna HYBRiD sana hasa zinazotoka machame ni hatari na nusu πππHizi hizi pisi za kichaga mnazo zikejeli kwamba hazina msambwanda?
Moshi hakujawahi kuwa na pisi kali labda hao ni wageni wa kutoka mikoa mingine wamekuja huko kwa ajili ya kusoma tu,ni wale wale wenye miguu kama fito au wengine?
Labda waifunike na kanzu inayoburuza chini, maana wakivaa suruali wanaonekana kama vinyago wa kimakonde kwa chiniMiguu inafunikwa ila sura haifunikwi
All the best mkuuMkuu tokea nipime ngwengwe na nikajikuta nipo salama, imepita miezi minne sasa sijahangaika na mwanamke yeyote. Nataka niowe nitulie na mmoja.
Mmekariri sana, tangu waamue kuchanganya damu ni visu asikwambie mtu. We njoo Moshi ujionee, usibaki kukariri vitu ulivyosimuliwa miaka ya 40 huko.Moshi hakujawahi kuwa na pisi kali labda hao ni wageni wa kutoka mikoa mingine wamekuja huko kwa ajili ya kusoma tu,ni wale wale wenye miguu kama fito au wengine?
Naona mkuu unatetea chagua lako kwa Hali na Mali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha hawa jamaa hawapo serious, watu wamechanganya damu sana sikuhizi Pisi za kichaga zenye mizigo na miguu ya bia zipo pia. Kuna HYBRiD sana hasa zinazotoka machame ni hatari na nusu [emoji23][emoji23][emoji23]
Dah mie chaguo langu ni nyanda za juu kusini mkuuπππ huku napiga friendly match tuNaona mkuu unatetea chagua lako kwa Hali na Mali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]