Godwin peter
JF-Expert Member
- May 12, 2019
- 360
- 608
- Thread starter
- #161
Hospitali walichukua vipimo?walikupa majibu ya vipimo?
Yaani yule daktari hadi nikaenda kumgoogle maana hawezi mpatia mtu dawa bila kumpima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hospitali walichukua vipimo?walikupa majibu ya vipimo?
Haujawahi kusikia juu ya forever company products??? Ukiona utapeli unaweza kwenda mwenyewe pale makao makuu (makumbusho-victoria) utakutana na nyomi ya watu wanaofuata bidhaa, mimi nilishawishiwa kuingia kwenye kampuni niliona usanii tu ila nilivyoenda pale nikahabarishwa vizuri na kuona mazingira, nikaingia totally, I am very proud of it , watu wengi wanapona matatizo yao.Mkuu usije ukawa unatafuta wateja kijanja manake hapo utapata wengi sana
Wako sahihi Mzee myahudi hakoseagi....hizi bible Na Quran zilijaribu kuikopi Torah Yao Na wakaishia kufeli pakubwaNI kweli ndo maana wanamuita yesu NI mtoto wa zinaa.
Maana katika hali ya kawaida mwanamke hawezi kubeba mimba bila kufanya mapenzi.
Wayahudi wako sahihi
unazingua waisilamu ndio walicopy bible we huoni muhammadi kuna vitu ameongeza tu kiufupi qurani ina hadithi za ushetani na majini tuWako sahihi Mzee myahudi hakoseagi....hizi bible Na Quran zilijaribu kuikopi Torah Yao Na wakaishia kufeli pakubwa
Kwa hapa punyeto unaionea tuuAcha PUNYETO.
Asante kwa kumshaur vzr mwenzetuFanya aina ya mazoezi yanaitwa kejel exercise unaweza search YouTube kuona yanafanyikaje haya husaidia kukuza uwezo wa ume kusimama tena kwa muda mrefu.
Kwa namna yeyote ile usitazame pornography/avoid pornography.
Achana na matumizi ya sukari na vitu vyote vyenye sukari sukari.
Pata usingizi wakutosha angalau masaa 8.
Cha mwisho kabisa jarbu kumfollow Dr mmoja twitter handle yake inaitwa @amerix atakusaidia sana kua mwanaume rijali kweli kweli.
kwa hyo unakubali yesu NI mtoto wa zinaa?Wako sahihi Mzee myahudi hakoseagi....hizi bible Na Quran zilijaribu kuikopi Torah Yao Na wakaishia kufeli pakubwa
Punguza mawazo kijana, huna shida yoyote mwilini na wala hakuna mchawi, potezea mawazo yako wakati uko na mwali, utayatatuwa kwa wakati wake,,,,Mimi ni kijana wa miaka 25 mkazi wa Dar es Salaam. Kwa muda mrefu sijawa katika mahusiano nikiwa na deal tu na mishe zangu, sasa leo nimepata nafasi ya kula tunda la binti mmoja hivi ambaye amekuja hadi getho.
Lahaula uume umekataa kusimama kabisa mpaka anaondoka yaani aibu sana mimi mtoto wa kiume. Na hii sio mara ya kwanza ishawahi nitokea kama mara mbili. Pia nishawahi kwenda hospital (Regency) nikaandikiwa dawa inaitwa Tradafil ila sijaitumia kuogopa kutosimama bila dawa.
Nisaidieni wanajamii naaibika mimi
Asa kula wali ndo kula vizuri?Kula ninakula vizuri tu,au kula wali kula siku mchana nalo pia nitatizo?
Mimi nakubali...nawewe unakubali quran ilitupiga kwa kusema yesu hana baba?kwa hyo unakubali yesu NI mtoto wa zinaa?
Mimi NI muislam wa kuzaliwaMimi nakubali...nawewe unakubali quran ilitupiga kwa kusema yesu hana baba?
Kwahyo Yesu Hana baba kazaliwa kimiujiza?Mimi NI muislam wa kuzaliwa
Siwezi kumkana Allah,Wala mtume ,Wala QURAN
Quran NI kitabu changu.
Kiko sahihi [emoji817]
Ndio.Kwahyo Yesu Hana baba kazaliwa kimiujiza?
Tiba sahihi kwa 100% hili tatizo liliwahi kunipata nilihangaika sana, doctor mmoja akaniambia ondoa hiyo dhana kichwan kuwa una tatizo, amini hauna zingatia mazoezi na ulaji aisee ni miaka 10 sasa nipo powa kabisaMiaka 25 shida itakua mentally zaidi..
Fanya mazoezi ..Kula vizuri ..
Ukipata mdada mwambie aje kulala Hadi asubuhi ili usijipe presha ya kufanya kabla hajaondoka....
Anza kuamini huna tatizo litaondoka