Leo nimeaibika sana, roho inauma

Leo nimeaibika sana, roho inauma

[emoji830]︎Kula balance diet,usile viepe na vyakula vengne vya kukaanga kwa wingi
[emoji830]︎Kula mboga mboga na matunda kwa wingi
[emoji830]︎Fanya mazoezi mara kwa mara
[emoji830]︎Tumia tangawizi km mbadala wa chai ya rangi,tangawizi unywe ikiwa kali kiasi
[emoji830]︎Usitumie vinywaji vyenye gesi
[emoji830]︎Kapime km una u.t.i sugu au gonjwa lolote la zinaa
[emoji830]︎ Tafuta dawa ya ngiri kunywa
[emoji830]︎Usitumie busta za pharmacy kabla ya kugegeda
[emoji830]︎Tumia asali mbichi,ukiweza changanya na mdalasini wa unga×3 kutwa,au changanya na unga wa habat sauda na asali
[emoji830]︎Tumia muda mwingi ku-socialize,gonga stori na wana,jiweke bize,usiangalie porn wala usipige punyeto
[emoji830]︎Copy life style hiyo within ten-30 days leta mrejesho hapa jukwaani.
Angalizo: siku ya kugegeda usiwe na papara,shemeji akuandae vzuri,muandaane; ili usimwage mapema mchombeze kwa stori za kumsifu,na jokes za hapa na pale,hii itakusaidia kumgegeda kwa muda mrefu na hapo ndio utakua mwisho wako wa kuwa na hofu na jogoo kugoma kusimama.
 
Kwanza hakikisha unaacha kupiga punyeto ndo mambo mengine yafate.
 
Miaka 25 shida itakua mentally zaidi..
Fanya mazoezi ..Kula vizuri ..
Ukipata mdada mwambie aje kulala Hadi asubuhi ili usijipe presha ya kufanya kabla hajaondoka....

Anza kuamini huna tatizo litaondoka
Tiba ndio hii hapa,,,,
 
Wanaume ambavyo hawapendi kusikia mwenzao kudhalilika haswa masuala ya nguvu za kiume,hasa wakisikia ameshindwa kuichakata vyema mbususu wanaweza hata kukulipia gharama za matibabu😂🤣😂🤣

Yaani ushauri unaotolewa hapa laiti kama ingekuwa tuna juhudi hizi kupeana moyo na namna ya kuitafuta pesa hakika wanaume wengi tungekuwa wakwasi...

Yaani tunachukulia kama tatizo ni letu sote, yaani tuna umia na katika mada kama hizi hata wale wenye masikhara utaona wakitoa ushauri na masikitiko mnooo...😂🤣😂🤣

Hivi jamani mbususu ina nini?🤣😂🤣😂

Tuendeleeni na moyo huu huu hata katika kusaidiana deals za kusaka mkate wa kila siku.
 
Mkuu hakikisha unakula ugali wa dona kila siku mchana, Piga push ups maana ni zoezi la mwili mzima. Lala usingizi wa masaa nane, acha punyeto kama ni muumini, baada ya wiki moja utakuwa ukiamka asubuhi mguu wa tatu unakuwa umenyanyua shuka.

Siku hizi ninatrend ya kupiga push ups zaidi ya 20 kabla sijalala
 
Miaka 25 shida itakua mentally zaidi..
Fanya mazoezi ..Kula vizuri ..
Ukipata mdada mwambie aje kulala Hadi asubuhi ili usijipe presha ya kufanya kabla hajaondoka....

Anza kuamini huna tatizo litaondoka
Safi mwanasaikolojia
 
Siku hizi ninatrend ya kupiga push ups zaidi ya 20 kabla sijalala
Ongeza kidogo, piga atleast 150, halafu unakuwa unabadili position ya mikono. Unaanza na ya kuachanisha mikono, hii itasaidia kutanua kifua, then unaweka mikono inakuwa usawa wa mwili wako , then kuna ile ya kukutanisha mikono (diamond push ups) Aisee hapo baada ya wiki moja utaona hata nguo zinakaa poa mwilini haswa kama unavaa mashati au suti, au kama unavaa nguo za kuchomekea. Na watoto wazuri wataanza kukunotice kwa sababu zoezi zinaupangilia mwili unakuwa umekaa kiume zaidi.
 
NILIWAHI KUWA MZEE WA DAKIKA MBILI, SITAMANI TENA KURUDI KATIKA HALI HII

Mwaka 2010, wakati huo nilikuwa form one , niliingia rasmi katika mchezo wa Kujichua (masturbation), kadri ya muda ulivyokwenda nilizidi kunogewa na huu mchezo kiasi kwamba ikafika nikawa siwezi kukaa hata siku tatu bila Kujichua.

Hali hii niliendelea nayo mpaka nikamaliza form six (advanced level), Baada ya kumaliza form six nikanunua smart phone ya kwanza ambapo niliongeza uchizi (addiction of masturbation) kwa kuwa si tu kujichua bali nilipenda sana kuangalia video za ngono (x-video) kupitia simu yangu.

Tabia hii niliendelea nayo mpaka nilivyofika chuoni , sikuwa nawaza kabisa suala la kuwa na mahusiano na Mwanamke yeyote bali pale ambapo nilikuwa nahisi hamu, nilikuwa nadownload video zangu za xx, naangalia kisha najichua.

Tatizo lilianza wakati nipo mwaka wa tatu, baada ya kuingia kwenye uhusiano na binti mmoja ,

Kiukweli nilimpenda na alinipenda lakini shida ilikuja pale ambapo alipotaka tukutane kimwili, nilikuwa naweka vikwazo vingi, UNAJUA KWA NINI??

Sababu kubwa nilikuwa nawaza , kwa muda wa miaka takribani 8 (Kuanzia form one hadi mwaka wa tatu chuo) nimekuwa nikipiga punyeto, je sitaaibika kweli???

Siku moja nikasema potelea pote, Kama mbwai na iwe mbwai, nikampanga mtoto, tukaenda lodge , tukaanza shughuli , aiseee kilichonikuta siwezi kusahau!!!!

Goli la kwanza nilitumia dakika moja na nusu tu, baada ya hapo mashine haikuweza tena kusimama usiku wote, kwa kweli niliaibika na nilijilaumu sana kwa uamuzi wangu wa kumkubalia yule binti kufanya naye mapenzi.

Sikuwa na jinsi ilibidi nimwambie mpenzi wangu kwamba mimi ni muathirika wa Kujichua ( masturbation addicted person), alishangazwa na hii habari kwake kwani muonekano wangu haukufanana na huu upumbavu niliokuwa naufanya, lakini nashukuru alinielewa na akanishauri nitafute suluhisho la tatizo langu (nguvu za kiume) na kweli nilijitahidi kadri ya uwezo wangu.

Kiufupi nimejaribu kutumia dawa nyingi kutoka kwa watu tofauti tofauti, nakiri zile dawa zilileta matokeo lakini shida ilikuwa moja, zilikuwa zinaleta matokeo ya muda tu (temporary effects) kiasi kwamba nisipotumia hizo dawa sikuweza kabisa kuperfom.

Nilipomaliza chuo (2019) nikarudi mtaani rasmi, Baada ya kurudi nyumbani nikakutana na mwalimu wangu wa O level ambapo tulipata fursa ya kuzungumzia masuala ya elimu na maisha kwa ujumla

Akanihabarisha kuwa yeye sasa maisha yake yamemnyookea sababu ameamua kujiongeza, amejiunga na kampuni iitwayo forever living products, ambapo alinielezea kiujumla kuhusu products zao na jinsi ya kujiunga,

Mazungumzo yalikuwa marefu lakini alinikosha zaidi aliponielezea juu ya package inayoweza kutibu moja kwa moja nguvu za kiume, nilifurahi sana na nilihisi kuwa nishapona kabisa
sababu niliamini kabisa hawezi kuniongopea kwani ni katika watu ninaowaheshimu sana.

Niliona isiwe case " mficha maradhi kifo humuumbua" nikamuelezea tatizo langu na akaniambia nitafute pesa Kisha nikachukue hizo supplements,

Kwa upande wa bei ilichangamka kidogo, lakini nikaona bora nijaribu, kwa kweli nashukuru baada ya kupata pesa nililipia zile supplements nusu nusu mpaka nikamaliza yote, kwa kweli nimekuwa new version of me, mpenzi wangu alikuwa akiinjoy na kushangaa mbona nimekuwa fire siku hizi tena bila kutumia booster, Kuanzia hapo niliinjoy sana maisha ya mahusiano na sasa nimeoa huku nikiwa na confidence ya kuwa kazi ninaiweza,,

Baada ya kupata ushuhuda binafsi, nikaamua kuingia kwenye kampuni moja kwa moja ili na mimi niwe sehemu ya msaada kwa watu Kama nilivyosaidiwa mimi.

Hivyo Kama ndugu yangu unapitia katika changamoto hizi karibu kwa ushauri zaidi juu ya jinsi ya kuondoa kabisa tatizo hili

0653646881

" USIOGOPE , TATIZO LA NGUVU ZA KIUME LINATIBIKA"

"WATU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA"

N:B Nimefupisha stori ili kutomchosha msomaji
Hongera Sana Mkuu, Itabidi na Mimi nitafute ili kuboost.
 
Ahha kwahyo wewe unaamini wayahudi kuliko quran?
Kama mimi navoamini quran kuliko hadith za sungura mjanja?
Kama unaiamini Quran endelea tu kuiamini NI jambo zuri.
Mimi Bado nawaamini wayahudi.
 
Mazoezi ni zaidi ya mbunye.

Mi nimeanza kukimbia tokea Niko form 6 (2009) mpaka leo ni kukimbia.

Na cha zaidi huwa siku hizi nabadilisha staili ya tizi.
Mfano:- kila siku natoka home mpaka kazini natembea Km 5.

Hili tu ni zoezi tosha.

Mazoezi ni kwa ajili ya mwili wako.

Upende mwili wako.

#YNWA
Kuku nakukumbusha tu leo kwa mgonga nyundo amtoki
 
mimi niwe na piss geto halafu mashine igome......

ila inategemea na piss yenyew ikoje...

but in all zinaa sio nzuri lbd kuna kitu mungu amekuepusha...

ushauli wangu punguza nyeto kama sio kuacha...
 
Miaka 25 shida itakua mentally zaidi..
Fanya mazoezi ..Kula vizuri ..
Ukipata mdada mwambie aje kulala Hadi asubuhi ili usijipe presha ya kufanya kabla hajaondoka....

Anza kuamini huna tatizo litaondoka
Boss
 
Mimi ni kijana wa miaka 25 mkazi wa Dar es Salaam. Kwa muda mrefu sijawa katika mahusiano nikiwa na deal tu na mishe zangu, sasa leo nimepata nafasi ya kula tunda la binti mmoja hivi ambaye amekuja hadi getho.

Lahaula uume umekataa kusimama kabisa mpaka anaondoka yaani aibu sana mimi mtoto wa kiume. Na hii sio mara ya kwanza ishawahi nitokea kama mara mbili. Pia nishawahi kwenda hospital (Regency) nikaandikiwa dawa inaitwa Tradafil ila sijaitumia kuogopa kutosimama bila dawa.

Nisaidieni wanajamii naaibika mimi
unapokuwa mwenyewe kuna wakati unasimama vizuri? inawezekana unakuwa hujiamini ndio inapelekea yote hayo.

kana wkt mwingine inasimama haaitaji dawa ya ku boost unaitaji kujipanga kisaikolojia na kama mdau alivyoshauri hapo mwanzo, andaa muda wa kutosha kukaa nae alafu next visit usije ukawa tena na wasiwasi kuwa itanitokea tena au vipi maana tatizo litarudi.
 
Tat
Yaan karibia kila asubuh lazima usimame,hata hapa nimeamka sasa hivi mashine imesimama...kuna sometimes asubuh inaweza simama hadi inauma
Izo lako ni la hisia zaidi, kisaikolojia ..kwakuwa wewe unajijuwa zaidi unaweza kutuambia unahisi labda hili tatizo limeoykana na nini?
 
Back
Top Bottom