Leo nimeaibika sana, roho inauma

Leo nimeaibika sana, roho inauma

Malezi yamekuathiri kijana wangu, ili kuepuka haya yote hebu sahau yote ya nyuma na ujione kama mtu mpya.

View attachment 2001640
Malezi na ku admire boys wenzake??? I kuna harufu ya homosexuality inamsumbua huyu jamaa pengine hajaakubaliana na hio hali ndo mana anahangaika hivi.
Mungu amsaidie maana siku hizi vijana wengi wanaihio changamoto
 
Yaan karibia kila asubuh lazima usimame,hata hapa nimeamka sasa hivi mashine imesimama...kuna sometimes asubuh inaweza simama hadi inauma

Sasa kumbe rijali kabisa, wasiwasi wa nini hadi kuja kutusumbua na 'sredi'

Halafu kuna uzi uliandika kuwa una admire vijana wa kiume, hebu fafanua zaidi...isije ikawa chanzo ndio hapo unapata stimu baada ya kupigwa pipe😬
 
Naomba nikuambie tu huna tatizo na usinywe dawa zooote,kwa mala ya kwanza hari hi ni kawaida
Hata mimi imenikuta.
Kunkidada nlilikua nakifukuzia kwa mda sana.siku kilipoingia king sikuinua kbsa mashine,moyo ulikua unaenda mbio n balaa, hata yeye aliogopa,
Anyway ilitakiwa huyo mdada walau aku suck kidogo
Kisha akukalie juu
At this moment usiwe unawaza kushindwa

Siku ukiichomeka tu basi siku zijazo itasimama hata hajavua nguo
Kifupi ni issue ya mentality tu
 
Pole kiongozi
FB_IMG_16357685162739964.jpg


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Fanya sanaa mazoezi...
Anza kwa kukimbia km 4 endelea kuongeza kila wiki.

Wakati wa mwanzo unaweza ukawa unakimbia halafu unatembea haraka haraka.
Endelea hivyo huku ukiongeza muda wa kukimbia.

Usisahau kula sanaa matunda.
Usisahau kunywa maji mengi.
Usisahau kulala vizuri na masaa yasiopungua 6 - 8, ila siku uliyochoka zaidi upe mwili muda wa kupumzika zaidi.


#YNWA
Mtu anakimbia km 4 daily kisa mbususu😂🤣😂🤣😂...

Dah nikifikiria hii schedule halafu kisa ni mbususu, nachoka kabisa😂🤣😂🤣😂
 
Miaka 25 shida itakua mentally zaidi..
Fanya mazoezi ..Kula vizuri ..
Ukipata mdada mwambie aje kulala Hadi asubuhi ili usijipe presha ya kufanya kabla hajaondoka....

Anza kuamini huna tatizo litaondoka
Ushauri safi sana mkuu,
 
Tuliza akili
kula vizur
Fanya mazoezi(sio lazma yawe magumu)
Acha kuipania sana papuchi (jipe mda unapo kuwa nae )
 
Sasa kumbe rijali kabisa, wasiwasi wa nini hadi kuja kutusumbua na 'sredi'

Halafu kuna uzi uliandika kuwa una admire vijana wa kiume, hebu fafanua zaidi...isije ikawa chanzo ndio hapo unapata stimu baada ya kupigwa pipe[emoji51]
Ohoooooo! Thread closed!
 
Back
Top Bottom