Yani shabiki wa yanga ahamie Simba Sc kisa Mayele kahamia Simba Sc??Yanga ni timu ambayo huwa inaitania Simba,
Wakati Simba imekuwa ikiikejeli na kuitukana Yanga
Mashabiki wa Yanga ni WA asili,
Huku wale wa Simba wakiwa ni wale Yanga wa mgawanyiko au wasiokuwa na ule ushabiki kutoka moyoni,
Mfano,
Leo hii mayele akihamia Simba basi Kuna mashabiki wa tahamia huko
Acha kuwasingizia wazaramo,kubali ukweli......kwani Mbeya pia Wazaramo wapo?Wewe huwajui WAZARAMO, yeye akisikia sehemu yenye ngoma au shughuli yeye itikadi hana. Hawa wana jezi zote za simba na yanga wakiwa na sherehe simba anavaa ya simba huyo huyo Yanga wakiwa mabingwa wanavaa za Yanga
Kweli kabisa.Yanga ni timu ya Wananchi wa Tanzania! Ni tofauti kabisa na ile ya wale ndugu kutoka Bombay.
Msimu ujao hamleti timu kwenye Ligi? Maana Hilo ndiyo kombe litagombaniwa tena au tuendelee kuyaishi maneno ya Rage aliyosema........maana yanadhihirika Kwa comment hiiMkombe wenyewe mbayaaa sisi hata hatuna shida nao chukueni tu π°ππ₯Άπ±
Nawaona hapo kwenye fuso lao la matangazo na mashabiki wao wachache! πππMikia wanashangilia kimoyomoyo View attachment 2272973
Nawaona hapo kwenye fuso lao la matangazo na mashabiki wao wachache! πππ