Leo Nimeamini Kweli Wanawake Hatupendani

Leo Nimeamini Kweli Wanawake Hatupendani

Mtuno ulikua wa kweli sasa!! Maana ikiwa wazi halafu ule mtuno unaonekanaga juu ya suruali haujavimba vizuri ujue watu hawakufaidi maumbile yako..
 
Nilikua natembea barabarani nikakutana na mdada akaniangalia kweli maeneo ya kwenye zipu hadi nikajishtukia alivyonipita nikasema nishike eneo la zipu lahaulaa nikakuta sikua nimefunga zipu. Yule dada alikua tayari punani yangu ionekane lakini sio kuniambia zipu iko wazi niifunge.
Nilishakutana na mkaka na zipu ikawa wazi akanisimamisha akanisalimia akaniambia dada zipu iko wazi nikafunga.
Ila huyu mwanamke mwenzangu sasa akaniacha nijue mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitakiwa kumdhania vizuri mwenzio vizuri. Unaweza kuhisi kama alikuona kumbe kiukweli hakikuona.

Inawezekana alizingatia hali ya mazingira kama endapo angekwambia angekufedhehesha,yaani ungejisikia vibaya kutokana na mazingira uliyokutana nayo.

Haya ulitakiwa uyaangalie kabla ya kuleta mada huku jf !
 
Kiukweli ndio iko hivyo, wanawake hampendani, mada nyingi zinapostiwa humu:
Kwenye gari mnamuona mwenzenu mjamzito lakini mnangoja apewe msaada na mwanaume
Kwenye matembezi mnamuona mwenzenu yuko uchi kabisa kutokana na kisketi kifupi alichovaa mnamwacha
Kwenye kumbi mbali mbali ndio usiseme kabisa.
Binafsi kuna siku nilikwenda Uhamiaji pale, wakati nasubiria wafungue kuna mdada ambae ni askari uhamiaji, alipita njiani nikamsimamisha. Nikamsalimia akaitikia, then nikamwambia dada nina shida, akaniambia niambie shida yako. Hapo ndipo nikamwambia dada samahani hujafunga flaizi. Alinishukuru sana na kuniambia alikuwa na wanawake wenziwe ofisini inamaana hawakumuona, aliondoka pale njia nzima anacheka na kunitazama mara kwa mara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom