Leo nimeanza siku yangu na balaa

Huyo mdada atakuwa hajapata kitu cha fasta asubuhi a.k.a amka na BBC

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
 
Ahsante kwa nasaha zako, ila sijaelewa inakuwaje mwanamke mwenzangu awe msaidizi wangu?
 
...wanawake bhana!
..basi umesifiwa ulitumia busara umejisikia rahaaaaa!
.ila makavu yalikuingia dadeki!
 
pole sana ila ulifanya uamuzi mzuri sana,ila sorry kama nimekusoma vibaya hapo kwenye uzi wako,shida ya huyu dada ilikuwa kuangalia salio lake,kama ni hivyo mbona ni rahisi kufanya kwenye ATMs,maana ni nafuu zaidi,hizi mashine unaweza fanya deposit of cash,withdraws,bank statements,paying of differents accounts,etc etc na gahrama zake ni nafuu kuliko kwenda kwa bank teller.
 
Pole mkuu,tumia huduma za premium

Sent from my G7-L01 using JamiiForums mobile app
 
Kweli leo nimeianza siku yangu vibaya, lakini kwa kuwa nimeanza na kunyamaza ngoja na wewe nikunyamazie. Unajua mie ni mzaliwa wa Tanzania Bara sipendi ushari.
 
Hizo kesi siku hizi hazipo, wanawaweka tu mahabusu hadi hasira zenu zikiisha wanawaachia.
hhahaah, sasa huko mahabusu si hata kazi zangu sitafanya, hahahah
 
hhaahahahhaahh, jamani sawa bwana
 
Umekosea sana huyo ni mjinga hajui kama foleni haianzii nje hivyo ulitakiwa umsaidie kumuelimisha ili kesho asije fanya tena akizani kuwa yuko sawa

Sent from my SM-G930V using JamiiForums mobile app
 
Umekosea sana huyo ni mjinga hajui kama foleni haianzii nje hivyo ulitakiwa umsaidie kumuelimisha ili kesho asije fanya tena akizani kuwa yuko sawa

Sent from my SM-G930V using JamiiForums mobile app
Jinsi alivyokuwa mshari hata sikuweza kumsemesha, kwanza mdada mwenyewe katoboa pua amevaa kidude kimening'inia kuelekea kwenye mdomo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…