πππππππππHuyo mdada atakuwa hajapata kitu cha fasta asubuhi a.k.a amka na BBC
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Ahahha nipo chikira nimerudi sasa hivi tupo pamoja dearhahaha, wengi tunavurugwa lakini ukiwa na wenzio unasahau "mivurugo" yako. hahahahahah. Upo Shunie umepotea kidogo
Ahsante kwa nasaha zako, ila sijaelewa inakuwaje mwanamke mwenzangu awe msaidizi wangu?Wala hujaanza siku vibaya, tafsiri unayoijipa ndiyo unayoiishi, kwani hujui duniani kuna watu zaidi ya tirion 6 na kila mtu anamawazo yake?, hivyo hakuna ubaya kukutana na watu wanaokwenda kinyume na utaratibu/ustaarabu wako. Angalia ulivyoianza siku vizuri mno kwanza umeanzia zinakowekwa hela, harafu wa kwanza kuongea naye ni mdada ambaye kimantiki ni msaadaizi wako kwa mujibu wa maumbo ya dunia , wala hupaswi kumchukulia kiihivyo kwani inawezekana amevurugwa vibaya mno aliko toka.
Focus endelea nayako, kwani hii nayo ni siku njema iliyoumbwa na MUNGU ili wewe upige hatua nyingine mpya kwenye maisha yako.
karibu sanaAhahha nipo chikira nimerudi sasa hivi tupo pamoja dear
Kweli leo nimeianza siku yangu vibaya, lakini kwa kuwa nimeanza na kunyamaza ngoja na wewe nikunyamazie. Unajua mie ni mzaliwa wa Tanzania Bara sipendi ushari.Umeianza vibaya kwa kukosa kuheshimu wenzako waliofika kwenye mlango wa benki kabla yako.
Yaani wewe kwa kifupi ndio unatabia mbaya sana sana. Jirekebishe
Nimekushangaa umekuja kuiandika huku umejionyesha tabia yako ilivyo
Huyo dada alifanya vizuri, tena na wengine wangefanya hivyo pia.
Hizo kesi siku hizi hazipo, wanawaweka tu mahabusu hadi hasira zenu zikiisha wanawaachia.hahaha, ukirusha ngumi si tutashitakiwa kupigana hadharani, hahaha
Niwie radhi!, nadhani nilipeka hisia zangu kuwa wewe ni mwanaume, niwie radha tafadhari kwa jumuisho lisilo haki.Ahsante kwa nasaha zako, ila sijaelewa inakuwaje mwanamke mwenzangu awe msaidizi wangu?
Achana na mfumo dume mkuuNiwie radhi!, nadhani nilipeka hisia zangu kuwa wewe ni mwanaume, niwie radha tafadhari kwa jumuisho lisilo haki.
hahahah, haya obsevaNiwie radhi!, nadhani nilipeka hisia zangu kuwa wewe ni mwanaume, niwie radha tafadhari kwa jumuisho lisilo haki.
hhahaah, sasa huko mahabusu si hata kazi zangu sitafanya, hahahahHizo kesi siku hizi hazipo, wanawaweka tu mahabusu hadi hasira zenu zikiisha wanawaachia.
Haikambe!pole sana Mtani
hhaahahahhaahh, jamani sawa bwanaWe ndo mchokozi. Umemkuta dada wa watu nje ukaleta kiherehere cha kuwahi kwenye foleni. Ningekuwa mimi ningekuzaba kibao.
Naamini nimezidi kukuharibia siku yako.
BTW nimeingia chaka... mi nlijua umeanza siku yako ya kubleed... title ya thread yako imekaa kihengahenga
Pia tumuaibishetumshinde shetani
[emoji23] [emoji23] siamini eti mpare unaogopa kesi!!!!hhahaah, sasa huko mahabusu si hata kazi zangu sitafanya, hahahah
Jinsi alivyokuwa mshari hata sikuweza kumsemesha, kwanza mdada mwenyewe katoboa pua amevaa kidude kimening'inia kuelekea kwenye mdomoUmekosea sana huyo ni mjinga hajui kama foleni haianzii nje hivyo ulitakiwa umsaidie kumuelimisha ili kesho asije fanya tena akizani kuwa yuko sawa
Sent from my SM-G930V using JamiiForums mobile app
ππππππ[emoji23] [emoji23] siamini eti mpare unaogopa kesi!!!!