Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,033
- 10,622
Avache M'boraHaikambe!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwani ye angekusubiri umkate kelebuNngemkata kerbu moja nzuri sana kutangulia sio kufika,sema maisha haya bwana utakuta kaamka na stress zake huko ndo maana
[emoji23] [emoji23] , hao niwanawake wakiswahilo ushamba mwingi,ni kweli Jovitha kuna wanawake washari kuanzia mtaani kwao hadi benki.
Unamshtukiza mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwani ye angekusubiri umkate kelebu
Huwa inasaidia?Huyo mdada atakuwa hajapata kitu cha fasta asubuhi a.k.a amka na BBC
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Ndio hivyo bwana wakati mwingine ni bora tu kubakia kama ilivyo ID yako kuepusha shariSikulaumu.juzi tu ilitokea hvyo benki wadada wawili.tumeingia foleni imevurugika.mmoja yupo mbele mwingine nyuma.ghafla yule wa nyuma akakaa mbele ya mwenzie akamwambia umenikutaa.
Na mashavu kavimbisha.nikajiuliza kwanini asingemvumilia tu wakati angetoka wa mbele yake angeingia yeye.bila hata kukwaruzana.
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Sina nguvu wala uwezo wa kugombana mwoga sanaBora ulivyo piga kimya
Sifa za mwombaji ni zipi? mshahara ni shilingi ngapi? mwisho wa maombi ni lini? maombi yatumwe kwa nani na kwa njia ipi? Kazi na majukumu yangu ni yapi? hahahahahKuna nafasi za kazi uandishi Ijumaa,KIU,Sani nicheki maana unaonekana umebobea ktk fani
Je, kama akikurudishia makofi mengi kuliko uliyompa wewe! hahahahahahaahahaDah aise kwangu mtu angekula makofi leo asubuhi aise
Mkuu samahan lakin,juz watu walikua wanajadili wanahis wew ndio bikira wa kisukuma,je una taarifa hiz,wakawa wanaskilizia kama utakua active humNilivyosoma heading Nikadhani umeanza siku zako zile wachezaji wa simba wanazofanyaga mazoezi
Kabla hajafanya hivo atajishtukia tu yuko chini, kafikaje fikaje hamna atakaejua mana kitakua kitendo cha kasi sanaJe, kama akikurudishia makofi mengi kuliko uliyompa wewe! hahahahahahaahaha
hahahahaahahaha, askari wanaolinda benki wangefanya yao!Kabla hajafanya hivo atajishtukia tu yuko chini, kafikaje fikaje hamna atakaejua mana kitakua kitendo cha kasi sana
wanaocheza "kyokushin" watanielewa
Kiongozi hizo takwimu wewe umezitoa wapi? au hiyo ni kwaa mjibu wa maccm!!!Wala hujaanza siku vibaya, tafsiri unayoijipa ndiyo unayoiishi, kwani hujui duniani kuna watu zaidi ya tirion 6 na kila mtu anamawazo yake?, hivyo hakuna ubaya kukutana na watu wanaokwenda kinyume na utaratibu/ustaarabu wako. Angalia ulivyoianza siku vizuri mno kwanza umeanzia zinakowekwa hela, harafu wa kwanza kuongea naye ni mdada ambaye kimantiki ni msaadaizi wako kwa mujibu wa maumbo ya dunia , wala hupaswi kumchukulia kiihivyo kwani inawezekana amevurugwa vibaya mno aliko toka.
Focus endelea nayako, kwani hii nayo ni siku njema iliyoumbwa na MUNGU ili wewe upige hatua nyingine mpya kwenye maisha yako.