Leo nimeanza siku yangu na balaa

Mie mwenzio ni mwoga kweli kupigana! naogopa kupigwa
 
MI SINA TOFAUTI NA ASHA NGEDERE NIKO NA HASIRA ZA PAPO KWA HAPO NA SIKUBALI KUSHINDWA KALE KA UKOO KETU SI UNAJUA WAMAMA WALIVYO JEURI?
vasophe! hahahaahahh huo pia ni ukoo wa mama yangu, hahahahah
 
hahahaah, niliamua tu kumuacha, tena dada mwenyewe katoboa pua!
Ulifanya jambo jema huenda sasa mngekuwa polisi kwa kesi ya ugomvi.
Kisheria. Mtu aliwahi kwenye foleni, i.e kupanga mstari unabid umuheshimu. Huyo dada hana hekima. Ulifanya jambo jema sana.
 
Kusamehe ni miongoni mwa sifa kubwa za mwanaume aliyekamilika.

Sent from my HUAWEI CUN-U29 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu samahan lakin,juz watu walikua wanajadili wanahis wew ndio bikira wa kisukuma,je una taarifa hiz,wakawa wanaskilizia kama utakua active hum
Mkuu hizi taarifa nilizipata na niliandika uzi wa kuelezea kwamba mimi siye Seth.
Ahsante kwa kunijuza bytheway
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…