Leo nimecheka sana!

kissa anyigulile

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2017
Posts
1,550
Reaction score
1,742
Nina jirani yangu ana watoto wanne. Last born amemzaa ukubwani(5yrs old)
Leo ametembelewa na wajukuu zake. Mtoto wake last born hakuwepo. Mara akaingia paap! Mazungumzo yalikuwa kama ifuatavyo:
Last born: "Shikamoo baba"
Baba: "Marahaba mwanangu, ulikuwa wapi?"
Wajukuu kwa last born: "Aa aa! Siyo baba, sema babuu!!"
Baba: Akaduwaa, akawa ananideku kajicho kwa pembeni. Nikajifanya sijamuona. Sikuchekea pale. Nikaaga haraka.
Laa! Kufika nyumbani nimecheka vibaya sana!!
 
Dah nipambane nimalizie kuzaa, nilee kisha nisubirie wajukuu mie.
Nisijekutana na haya ya watoto na wajukuu kuchanganyikiwa🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…