kissa anyigulile
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 1,550
- 1,742
Nina jirani yangu ana watoto wanne. Last born amemzaa ukubwani(5yrs old)
Leo ametembelewa na wajukuu zake. Mtoto wake last born hakuwepo. Mara akaingia paap! Mazungumzo yalikuwa kama ifuatavyo:
Last born: "Shikamoo baba"
Baba: "Marahaba mwanangu, ulikuwa wapi?"
Wajukuu kwa last born: "Aa aa! Siyo baba, sema babuu!!"
Baba: Akaduwaa, akawa ananideku kajicho kwa pembeni. Nikajifanya sijamuona. Sikuchekea pale. Nikaaga haraka.
Laa! Kufika nyumbani nimecheka vibaya sana!!
Leo ametembelewa na wajukuu zake. Mtoto wake last born hakuwepo. Mara akaingia paap! Mazungumzo yalikuwa kama ifuatavyo:
Last born: "Shikamoo baba"
Baba: "Marahaba mwanangu, ulikuwa wapi?"
Wajukuu kwa last born: "Aa aa! Siyo baba, sema babuu!!"
Baba: Akaduwaa, akawa ananideku kajicho kwa pembeni. Nikajifanya sijamuona. Sikuchekea pale. Nikaaga haraka.
Laa! Kufika nyumbani nimecheka vibaya sana!!