MkuuLEO tarehe 04/10
Mliowai fukuzwa kazi hii inakuaje? sikua na savings, sikujiandaa!! Nasomesha na mke !!
Aisee nilipo hapa nacheka na kulia kwa wakat mmoja!!
Ulishawai pitia hii hali?
View attachment 2772266
Tarehe05/10
Nimeuza Godoro lasmi naelekea kwetu Tandahimba.
MkuuLEO tarehe 04/10
Mliowai fukuzwa kazi hii inakuaje? sikua na savings, sikujiandaa!! Nasomesha na mke !!
Aisee nilipo hapa nacheka na kulia kwa wakat mmoja!!
Ulishawai pitia hii hali?
View attachment 2772266
Tarehe05/10
Nimeuza Godoro lasmi naelekea kwetu Tandahimba.
Hapo kwenye mgogo(mgogoro).Kama unahisi umeonewa tafuta wakili au kama ni mwanachama wa chama chochote cha wafanyakazi,nenda karipoti ukiwa na copy ya barua ya kufukuzwa kazi ili mtengeneze mgogo!Ambao mnaenda C.M.A(Commission for mediation and Arbitration).Ambayo ipo kila mkoa,mkishindwana huko mnaenda mahakama kuu,kitengo cha kazi.Ila iwe ndani ya siku 21 kuanzia siku waliyokufukuza.
Ni wazo Zuri but hapo ni kujitolea kumuweka Mke rehaniKama mtaa unaoishi unaruhusu, na mkeo sio sister do na ni muelewa, mpe 300K afungue genge, sina hakika na mtaji wa genge ni shingapi, ila huo unaweza saidia, na akipata duka la mangi akaomba kuweka genge pembeni inaweza kuwa nzuri zaidi.
Hii ni kuhakikisha familia inatengeneza kipato hata kama ni kidogo, kitakachowasaidia kwa mambo kama msosi huku wewe ukipambana kutafuta kazi nyingine.
Pole na kila la heri.
Kama uko Mbeya naomba tuonane mapacha tupate walau maji kidogoEasy bro, risk maisha yako ni eidha ushikwe ufungwe au utoboe.
Akili kumkichwa USIUE tu
Ulikuwa hufanyi kazi unafanya kibarua tu.Maishani mwangu, nishafukuzwa kazi mara kadhaa
ikiwemo kupigana, kumtukana bosi, kusingiziwa kuiba, na kukataa amri za kipumbavu...
Usifunguke kakaMaishani mwangu, nishafukuzwa kazi mara kadhaa
ikiwemo kupigana, kumtukana bosi, kusingiziwa kuiba, na kukataa amri za kipumbavu...
Usifunguke kakaMaishani mwangu, nishafukuzwa kazi mara kadhaa
ikiwemo kupigana, kumtukana bosi, kusingiziwa kuiba, na kukataa amri za kipumbavu...
Usifunguke kakaMaishani mwangu, nishafukuzwa kazi mara kadhaa
ikiwemo kupigana, kumtukana bosi, kusingiziwa kuiba, na kukataa amri za kipumbavu...
Usifunguke kakaMaishani mwangu, nishafukuzwa kazi mara kadhaa
ikiwemo kupigana, kumtukana bosi, kusingiziwa kuiba, na kukataa amri za kipumbavu...
Bro taratibu , sasa kitambi kinahusiana na nini hapo ?Nilikimbia nchi, maana nilijua sitaweza haya maisha ya mabosi watu weusi kujiona mungu mtu, labda ningeshafugwa jela maana huwa nashindwa kujizuia hasa jitu lina kitambi halafu linakupiga mkwara.
Kaloge mkuu. Wamakonde nawakubali kwa uchawi.LEO tarehe 04/10
Mliowai fukuzwa kazi hii inakuaje? sikua na savings, sikujiandaa!! Nasomesha na mke !!
Aisee nilipo hapa nacheka na kulia kwa wakat mmoja!!
Ulishawai pitia hii hali?
View attachment 2772266
Tarehe05/10
Nimeuza Godoro lasmi naelekea kwetu Tandahimba.
LEO tarehe 04/10
Mliowai fukuzwa kazi hii inakuaje? sikua na savings, sikujiandaa!! Nasomesha na mke !!
Aisee nilipo hapa nacheka na kulia kwa wakat mmoja!!
Ulishawai pitia hii hali?
View attachment 2772266
Tarehe05/10
Nimeuza Godoro lasmi naelekea kwetu Tandahimba.
Dah! Ndiyo ukubwa huo. Pole sana. 🙁LEO tarehe 04/10
Mliowai fukuzwa kazi hii inakuaje? sikua na savings, sikujiandaa!! Nasomesha na mke !!
Aisee nilipo hapa nacheka na kulia kwa wakat mmoja!!
Ulishawai pitia hii hali?
View attachment 2772266
Tarehe05/10
Nimeuza Godoro lasmi naelekea kwetu Tandahimba.