Dah! Ndiyo ukubwa huo. Pole sana. 🙁LEO tarehe 04/10
Mliowai fukuzwa kazi hii inakuaje? sikua na savings, sikujiandaa!! Nasomesha na mke !!
Aisee nilipo hapa nacheka na kulia kwa wakat mmoja!!
Ulishawai pitia hii hali?
View attachment 2772266
Tarehe05/10
Nimeuza Godoro lasmi naelekea kwetu Tandahimba.
Pole mzee. Kama ni mtu wa ibada tafuta kanisa/msikiti uwe unaenda kushinda na kuabudu. mkimaliza ibada nenda kazurure free beach ambayo kuna kiti na meza unajisomee vitabu vya dini na sio lazima ununue kinywaji au chakula. Kaa hapo mpaka jioni saa 12 kasoro rudi nyumbani kama una hg hawezi kujua kimewaka ofisini. Wakati huohuo tafuta sehemu barabarani anza kuuza matunda uanze kupata income stress itapungua. Kama mke wako ameajiriwa, jitahidi sana utafute hela kwa marafiki wa kweli ili majukumu nyumbani yaendelee umeme, maji, taka, mtungi wa gesi nk ama sivyo mkeo ataanza kukuchoka akianza kuvifanya yeyeLEO tarehe 04/10
Mliowai fukuzwa kazi hii inakuaje? sikua na savings, sikujiandaa!! Nasomesha na mke !!
Aisee nilipo hapa nacheka na kulia kwa wakat mmoja!!
Ulishawai pitia hii hali?
View attachment 2772266
Tarehe05/10
Nimeuza Godoro lasmi naelekea kwetu Tandahimba.
Pole mkuu..kila kitu kina mwanzo na mwisho wake..baada ya mwezi 1 anza kufatilia mafao yako.LEO tarehe 04/10
Mliowai fukuzwa kazi hii inakuaje? sikua na savings, sikujiandaa!! Nasomesha na mke !!
Aisee nilipo hapa nacheka na kulia kwa wakat mmoja!!
Ulishawai pitia hii hali?
View attachment 2772266
Tarehe05/10
Nimeuza Godoro lasmi naelekea kwetu Tandahimba.
[emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa bhana, unajua hadi makabila ya watu humu
nimefurahi sana kuita hiyo ni changamoto (challenge), ni neno kubwa sana la faraja kama mtoa mada atalielewa.Umefukuzwa ajira sio kazi. Kazi bado zipo nyingi tu, moja wapo ipo kwako. Hukuubwa uwe copy ya mtu, ukiacha panic utaona cha kufanya na hicho ndio kitakupa kazi. Pole kwa changamoto.
Chukua hiyo jiwe 7 nenda nayo Mabibo sokoni nunua bidhaa uza.utakuja kunishukurumke -ndio
watoto-ndio
kiasi-700,000/=
Mahali -Dar
if your still under 40, worry not, kazi kibao tu utapata.
Umefukuzwa na kesi mahakamani au ni kufukuzwa tu?? Kama ni kufukuzwa tu, bas jipange upige mishe zingine…!!! Haya mambo yanatokea na sana …!! Ni ishu za mpito. Wapo wanaofukuzwa kazi plus kesi mahakamani, so wanajikuta hata hicho kidogo walichonacho kinaishia kwa mawakili kusimamia kesi….!!!!
Jamaa anazingua Kuna thread kasema malengo yake ni kutimiza mil 12 mwaka huu
Kama huna usingizi chukua kitabu ama Bible ujisomee sio kuleta thread za kikuda humu[emoji108]