Banda la kuku aisee hawa wabongo watatumaliza leo nakichekoππππWeka picha tuzione. Maneno tu hayataonyesha the real picture. For example, Atlantis hotel ndio hio eti 5 star.ππππ
Concorde Hotel Huko ni 10* ππππMi nawabandikia budget hotels mingi ambazo zikienda dar zitakua 5* kina tune na Concorde hotel alafu wao wanaeka lodging kama Zile za riverroad za kupeleka chips fungaπππDar jaina kitu kwa nairobi aiseeπππ
Hiyo sasa ni 1* ama? Hii ikija Nairobi hata top 20 haitaingia.
Leta 5* acha aibuππππHiyo uku nairobi budget hotel aiseeπππ
Leta 5* acha aibuππππHiyo uku nairobi budget hotel aiseeπππ
Compare and contrast
Achana naye huyu jamaa anatafuta attention. Amekimbia tulikuwa na mpambano naye. Mpotezee atachoka mwenyewe. Haya ni maumivu baada ya kumpiga za mbavu. Hahahaha. Mpotezee
Hapo sawa sasa leteni Hyatt regency alafu mwende mkalale juu hamna 5* ingine.Serena hotel Dar
Ha ha Rising Sun Hotel kuna ndugu yangu anafanya kazi humo ndani. Halafu chini yake kuna Benki ipo KCB kuna jamaa akuwa lindo pia ni rafiki yangu sana sana. Huwa anakuwa ndani kuwaelekeza wateja hapa na pale. Dah nikiona hizo picha nawakumbuka tu ndugu zangu haoIngine hiyo...........angalia pande ya kulia ni slum tupu.ππππ
Huyu jamaa anatafuta attention. Tulikuwa na mpambano kwenye uzi fulani. Kakimbia. Mpotezee tu. Maumivu yakiisha atarudi kwenye hali yake ya kawaida. Ameanzisha thread kwa hasira. Hahahahaha. Mpotezee
acheni nae huyo kakimbia mziki kule kwenye battle kaona mambo magumuπππSouthern Sun DarView attachment 783055View attachment 783056