Leo nimeitwa lishangazi, sijui nifurahie au nisikitike

Leo nimeitwa lishangazi, sijui nifurahie au nisikitike

Mshangazi dot com

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
1,345
Reaction score
3,503
Wadau, kuna kijana amenifuata huko DM na kuniita lishangazi kwasababu amesema nimejiunga humu wakati yeye ndiyo anaanza shule ya msingi.

Sasa najaribu kupima, je natosha humo kwenye ushangazi na kama nakidhi vigezo vya kummudu huyu dogo 😅.

Ili nikamilike kuwa lishangazi la uhakika, inabidi niwe na nini?
 
Wadau, kuna kijana amenifuata huko DM na kuniita lishangazi kwasababu amesema nimejiunga humu wakati yeye ndiyo anaanza shule ya msingi.

Sasa najaribu kupima, je natosha humo kwenye ushangazi na kama nakidhi vigezo vya kummudu huyu dogo 😅.

Ili nikamilike kuwa lishangazi la uhakika, inabidi niwe na nini?




ONYO:
Mamoderator, napost kwa mara ya pili, naomba msiunganishe uzi wangu na nyuzi za zamani zilizokufa na zisizoendana na swali langu. ASANTE!
Mimba yako ya kwanza ulipata mwaka gani kabla ya kujiunga na JF?
 
Sawa, na sisi tumerudi tena.

Lishangazi linatakiwa liwe Limejajaa, mzigo wa kutosha 🍑, laini laini, ikiwezekana liwe jeupe jeupe hivi, Smart, Mcorporate fulani hiviii chenji chenji hazimkauki, yeye njaa ndogo ndogo sio issue anachotaka ni kukojozwa 💦tu.

Unajiona humo Theresa??
 
Sawa, na sisi tumerudi tena.

Lishangazi linatakiwa liwe Limejajaa, mzigo wa kutosha 🍑, laini laini, ikiwezekana liwe jeupe jeupe hivi, Mcorporate fulani hiviii chenji chenji hazimkauki, yeye njaa ndogo ndogo sio issue anachotaka ni kukojozwa 💦tu.

Unajiona humo Theresa??
Umemaliza kila kitu 👌
 
1000006273.jpg
 
Sawa, na sisi tumerudi tena.

Lishangazi linatakiwa liwe Limejajaa, mzigo wa kutosha 🍑, laini laini, ikiwezekana liwe jeupe jeupe hivi, Mcorporate fulani hiviii chenji chenji hazimkauki, yeye njaa ndogo ndogo sio issue anachotaka ni kukojozwa 💦tu.

Unajiona humo Theresa??
Mkuu ina maana kama ni mnene tu na nyama nyama tutamuitaje? Msaada Please
 
Back
Top Bottom