Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Kama namuona Poor Brain na shangazi lakeMishangazi itapukutika na vimarioo vyao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama namuona Poor Brain na shangazi lakeMishangazi itapukutika na vimarioo vyao
Sawa bibiWeye apo
Aombe sana trump asinaniliu 😹Kama namuona Poor Brain na shangazi lake
Tena akeshe akiomba maana ataharisha mara 62 kwa siku.😂Aombe sana trump asinaniliu 😹
..ushamaliza ila hata likiwa jeusi jeusi flani hv nyoroooro sawa tu!Sawa, na sisi tumerudi tena.
Lishangazi linatakiwa liwe Limejajaa, mzigo wa kutosha 🍑, laini laini, ikiwezekana liwe jeupe jeupe hivi, Smart, Mcorporate fulani hiviii chenji chenji hazimkauki, yeye njaa ndogo ndogo sio issue anachotaka ni kukojozwa 💦tu.
Unajiona humo Theresa??
🙄 Ukimchoka mtu mchane tuSawa bibi
nmchane na viwembe?🙄 Ukimchoka mtu mchane tu
Ndionmchane na viwembe?
Haya sogeza hapa hiyo nyashNdio
Lishangazi maana yake uwe umempiga vita na kumshinda adui njaa😁!Wadau, kuna kijana amenifuata huko DM na kuniita lishangazi kwasababu amesema nimejiunga humu wakati yeye ndiyo anaanza shule ya msingi.
Sasa najaribu kupima, je natosha humo kwenye ushangazi na kama nakidhi vigezo vya kummudu huyu dogo 😅.
Ili nikamilike kuwa lishangazi la uhakika, inabidi niwe na nini?
Pesa ninayo ya kutosha na gari ya kutembelea ninaweza kukupa 😎tafuta fedha uitwe SHANGAZI badala ya Lishangazi
Adui njaa nishampiga kitambo now nimechukua sabbatical nipumzike nipelekewe 🔥🔥 na vijana.Lishangazi maana yake uwe umempiga vita na kumshinda adui njaa😁!
Kama bado unaokoteza hela kwa vizinga kwa kujibebisha kwa waume za watu bado wewe sio lishangazi, ni mhalifu tu kama ilivyo kwa waalifu wengine wanaojipanga maeneo ya Mi Casa, Makuburi na buguruni kimboka.
Bora umemkumbusha 🤣🤣Amesahau kukuita singo maza 💩