Betting ni km kijana aliyeanza punyeto,kuacha kutakuhtaji ujisimamie haswa,hapo ulipo tayari una loss ya 10k,hii inaweza kukutesa mpk utake kurejesha hyo loss na faida,ukija kushtuka tayari ushakua_addictKwa mara ya kwanza nimejaribu aisee huu mchezo sirudii tena.
Unaona timu kubwa inashinda but wanachokifanya upuuzi kabisa.
PSG mmeniangusha sana. Sitarudia tena.
Kwa mara ya kwanza nimejaribu aisee huu mchezo sirudii tena.
Unaona timu kubwa inashinda but wanachokifanya upuuzi kabisa.
PSG mmeniangusha sana. Sitarudia tena.
Anahisi kuacha ni rahisi huyo jamaa😅 betting ni kama cocaine!
Kuacha inawezekana lakini unajua kwanini nasema haachi? Ile tu kutia mkeka halafu ikachana team moja kutampa hopes kuwa next time anaweza kushindaKuchomoka inawezekana ni jambo la kuamua tu wewe mwenyewe mimi ni miongoni mwa waliochomoka kutoka kuvuta sigara na kubeti pia.
Hahahahahahah natamani kujua kesho yake walikufanya nini wana kamati 😅 au uliingia benki kusawazisha msala!?Yani kuliwa mara moja tu unakata tamaa!.
Sitasahau hii kitu. Mimi niliwahi kuliwa laki saba - tena zilikuwa ni fedha za vinywaji kwenye Harusi ya Rafiki yangu na mimi nikiwa katibu wa kamati ya vinywaji.
Nilipewa fedha ili kesho yake nikalipie. Basi sikuile Barcelona ilikuwa inacheza na sijui timu gani kibonde ilikuwa inashika nafasi ya pili mkiani. Nikaweka mzigo wote ili nipate faida. Aisee kilichotokea ni Barca ilikula kichapo tena ikiwa na Mesi.
Assuming hata hiyo laki saba ya kusawazisha hauna waweza jifanya umekufaYani kuliwa mara moja tu unakata tamaa!.
Sitasahau hii kitu. Mimi niliwahi kuliwa laki saba - tena zilikuwa ni fedha za vinywaji kwenye Harusi ya Rafiki yangu na mimi nikiwa katibu wa kamati ya vinywaji.
Nilipewa fedha ili kesho yake nikalipie. Basi sikuile Barcelona ilikuwa inacheza na sijui timu gani kibonde ilikuwa inashika nafasi ya pili mkiani. Nikaweka mzigo wote ili nipate faida. Aisee kilichotokea ni Barca ilikula kichapo tena ikiwa na Mesi.
Naomba nifundishe hii mkuu, inakuwajee?Pole mkuu..mi nimekula ka 50k ka supu na bia mbili tatu kesho . Over 1.5 liverpool....0.5 psg....2.5 city......no gg atletico...
Aisee kama hukujinyonga kwa msala huo hutakuja kujinyonga kamwe. Bravo sana man kwa kuvuka salama kipindi hicho.Yani kuliwa mara moja tu unakata tamaa!.
Sitasahau hii kitu. Mimi niliwahi kuliwa laki saba - tena zilikuwa ni fedha za vinywaji kwenye Harusi ya Rafiki yangu na mimi nikiwa katibu wa kamati ya vinywaji.
Nilipewa fedha ili kesho yake nikalipie. Basi sikuile Barcelona ilikuwa inacheza na sijui timu gani kibonde ilikuwa inashika nafasi ya pili mkiani. Nikaweka mzigo wote ili nipate faida. Aisee kilichotokea ni Barca ilikula kichapo tena ikiwa na Mesi.
Benki nilikuwa na Laki tatu tu, nikazitoa zote. Nikaenda kukopa kazini nikapewa Laki mbili, kisha kuna jamaa huwa anakopesha fedha kwa riba nae akanipa laki mbili.Hahahahahahah natamani kujua kesho yake walikufanya nini wana kamati 😅 au uliingia benki kusawazisha msala!?
Zingatia maneno haya "hautalia lia kila siku" means kuna siku utalia ila sio kila siku.Kubet hakuna ujanja ujanja, unaweza kubet hvy na bado ukauona moto
Bet what you can afford to lose,tatizo linakuja pale unapobet with high expectations lazima ujutie kubet,nimewahi kula 1.6 M kwa sh 100, nikala 100,000 kwa stake ya Mia ,pia nikala pia sh ,200,000 kwa stake ya sh 100/= sasa naachaje kubet?,Kwa mara ya kwanza nimejaribu aisee huu mchezo sirudii tena.
Unaona timu kubwa inashinda but wanachokifanya upuuzi kabisa.
PSG mmeniangusha sana. Sitarudia tena.
Pamoja Sana mkuu!!Pole, betting uwe na roho ngumu, kuliwa ndo sehemu ya mchezo.
Usiache jipange tena ipo siku nakwambia utahamia bar.