Bi zandile
JF-Expert Member
- Sep 12, 2024
- 301
- 856
Habari zenu gentlemen & ladies, ikiwa unafurahia kupokea wageni wapya hapa jamiiforums basi naomba unikaribishe kwa kunipa like na nasaha zako, nimekuja kuongeza maarifa hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni wivu mkuu, waambieni wafunge pm kabisa 😆umri wako
Umeolewa
Umepanga
Una bfriend
Umeokoka???
umeajiriwa ama umejiajiri??
Hayamaswali jipange nayo dada watu wa humu 😂
Wengine watakuja inbox hukoo kimbia kabisaaaaaaaqq balaaa ..wala kutaja unakaa wapi no
Asante mkuu.Karibu sana mkuu
Siwezi kimbia waje tu na jiswali vyao vitajibiwa hapa hapaumri wako
Umeolewa
Umepanga
Una bfriend
Umeokoka???
umeajiriwa ama umejiajiri??
Hayamaswali jipange nayo dada watu wa humu 😂
Wengine watakuja inbox hukoo kimbia kabisaaaaaaaqq balaaa ..wala kutaja unakaa wapi no
Asante mkuuKaribu home
Kwani kuna ligi hapa?Ujipange
Anza wewe mwenyeji kisha mie mgeni nitafuataTupia kapicha tuonane basi
Mkuu mwache mrembo😅soma pm ..ukiona msg kama hizi zoma simu toa betting kwa mda
Muache tu aseme yote ninamsikilzaMkuu mwache mrembo😅
Hapo pichani ni wewe?Habari zenu gentlemen & ladies, ikiwa unafurahia kupokea wageni wapya hapa jamiiforums basi naomba unikaribishe kwa kunipa like na nasaha zako, nimekuja kuongeza maarifa hapa.
ID yake ya zamaniHuu ni wivu mkuu, waambieni wafunge pm kabisa 😆
Welcome AuntHabari zenu gentlemen & ladies, ikiwa unafurahia kupokea wageni wapya hapa jamiiforums basi naomba unikaribishe kwa kunipa like na nasaha zako, nimekuja kuongeza maarifa hapa.
Nadhani ile ndoto yangu ya kuwa na familia kwa muda mrefu inaelekea kutimia muda si mrefu wajameni..