Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
Ingekuwa heri ungeomba kwa jina la Issa bin Maryam tu mkuu, Yesu unamuingiza katika kazi isiyo yake. Acha matumizi mabaya ya jina Yesu.na pia tunatoaaa huduma za kirohoo mama ngoja nifanye sala kidogoo mambaa wasikusumbue maana
Baba katika jina lako Yeau nashukuru kwa member huyu mpya naomba ulpe hekima na akili akaishi ktk kukupendeza wewe na wanadamu
Namfunika na damu ya Yesu popote alipo wasumbufu wotee wasimsogelee pm kama sio kutoa sadaka tu
ninaomba ktk Jina lako
amen
Sadaka ruksa mama ktkt kujenga kanisa la Bwana no utaona PM..
Kwikwikwi