Leo nimejiunga rasmi jamiiforums

umri wako
Umeolewa
Umepanga
Una bfriend
Umeokoka???
umeajiriwa ama umejiajiri??
Hayamaswali jipange nayo dada watu wa humu 😂


Wengine watakuja inbox hukoo kimbia kabisaaaaaaaqq balaaa ..wala kutaja unakaa wapi no
Siwezi kimbia waje tu na jiswali vyao vitajibiwa hapa hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…